kenneth kaunda

  1. ward41

    Unajua Kenneth Kaunda alikuwa Mmalawi 100%?

    Raisi wa kwanza wa Zambia alikuwa raia wa Malawi asilimia Mia. Baba alikuwa raia wa Malawi na mama pia alikuwa hivyo. Baba alikuwa mchungaji aliehamia Zambia. Kaunda alikuwatu mzaliwa wa Zambia lakini kwao Malawi Cha ajabu akaja kuitawala Zambia kwa miaka mingi tu baada ya Uhuru. Sijui katiba...
  2. Geza Ulole

    Opinion: Passing of Dr Kenneth Kaunda and end of Mulungushi Club of leaders

    Zambia’s former president and founding father Kenneth Kaunda. PHOTO | AFP Summary I first met Dr Kenneth Kaunda in Westminster Hall in London, a year or so after he had lost elections to Fredrick Chiluba. In a meeting chaired by Zainab Baddawi (then of Channel 4), he came across to most of us as...
  3. Ferruccio Lamborghini

    Hiki ndicho chanzo cha 'Kaunda Suit'

    Ni siku chache tu zimepita tangu Rais wa kwanza wa Zambia, Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na umri wa miaka 97. Ameondoka duniani na kuacha vitu vingi vya kukumbukwa, lakini leo acha nikupe hili la mavazi, amefariki akiacha jina maarufu la kaunda suti, ambazo kwa sasa vijana, watoto na wazee...
  4. Maramla

    How Tanzania Remembers Dr. Kenneth Kaunda

    Tanzania President Her Excellency Samia Suluhu Hassan has on behalf of government sent condolences to the People of Zambia for the death of their Father of the Nation Dr. Kenneth Kaunda who passed away yesterday June 17, 2021 in Lusaka. In her condolences President Samia has said Africa has...
  5. E

    Yanga hawana taarifa ya kifo cha Kenneth Kaunda?

    Inasikitisha kuona timu kubwa kama Yanga ambayo imeupachika uwanja wake jina la Kenneth Kaunda Stadium inashindwa kutoa hata taarifa ya kusikitishwa na msiba wa mwanamajumui huyu wa Afrika. Ndio kusema Viongozi hawana taarifa ya msiba huu au hawajui vinasaba vya Kenneth Kaunda na Yanga? ======...
  6. Miss Zomboko

    Rais Samia ametangaza siku 7 za maombolezo Kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth Kaunda

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa wanafamilia na Rais wa Zambia Edgar Lungu, kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza na Muasisi wa Taifa hilo Kenneth Kaunda, kilichotokea jana Juni 17, 2021. Kaunda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka...
  7. Elius W Ndabila

    Ujue Wasifu wa Hayati Kenneth Kaunda wa Zambia

    MFAHAMU HAYATI KENNETH KAUNDA(KK). Na Elius Ndabila 0768239284 Taarifa iliyoripitiwa hivi leo na vyombo vya ndani vya Zambia ni kuwa Rais wa Rais wa Kwanza wa Zambia Mzee Kenneth KAUNDA ambaye kule wanapenda kumwita Baba wa Taifa ameaga Dunia.Mzee Kaunda ni pekee yake kati ya Wazee wa Mwanzo...
  8. Geza Ulole

    Zambia’s first president Kenneth Kaunda dies aged 97

    Zambia’s first president Kenneth Kaunda dies aged 97 THURSDAY JUNE 17 2021 Zambia’s former President Kenneth Kaunda. By The Citizen Reporter More by this Author Zambia's founding father Kenneth Kaunda has died at the age 97 three days after being admitted to Maina Soko Medical Centre, a...
  9. Determinantor

    Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

    Mzee Kennedy Kaunda amefariki mchana wa leo wakati akipatiwa matibabu kwenye hospital ya Maina ===== MAISHA YA AWALI Kaunda ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wanane. Alizaliwa katika hospitali ya Misheni ya Lubwa katika kitongoji cha Chinsali, katika Mkoa wa Magharibi mwa Northern...
  10. Mohamed Said

    Wakati Kenneth David Kaunda anatimiza miaka 97, tuangalie uhusiano wake na Ally Sykes 1953

    KENNETH DAVID KAUNDA NA ALLY KLEIST 1953 Leo Kenneth Kaunda katimiza miaka 97. Nimeangalia picha ya Kenneth David Kaunda na picha hii ikanikumbusha uhusiano wa Kaunda na Ally Kleist Sykes wakati Afrika ilipokuwa katika harakati ya kupigania uhuru wake. Usiku umekuwa mwingi In Shaa Allah kesho...
Back
Top Bottom