Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano...
awamu ya sita
denila nje
denila serikali
denila taifa
denila taifa himilivu
denila taifa kukua
denila taifa tanzania
denilazanzibar
mikopo
rais samia
rais samia suluhu
samia suluhu
zanzibar
Wadanganyika mnaitwa huku 🤪🤪
---
Serikali ya Zanzibar na Uingereza zimesaini makubaliano ya mkopo wa bei nafuu wa Euro 400 milioni sawa na Sh1.04 trilioni kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Pemba na zaidi ya kilometa 103 Unguja na Pemba.
Fedha hizo ambazo ni mkopo nafuu...
Mwenendo wa deni la Zanzibar
2017/18 - Bilioni 472.5
2018/19 - Bilioni 806.8
2019/20- Bilioni 824.5
2020/21 - Bilioni 887
2021/22 - Trilioni 1.2 https://t.co/YuSI0usKt4
Hawa watu sisi ndio twawadhamini ila wanatuletea kiburi na jeuri. Na hapo bado sisi twawapa zaidi ya Asilimia 4 kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.