darwin nunez

  1. JanguKamaJangu

    Barcelona yatajwa kumuwania Darwin Nunez

    Wakati msimu wa 2023/24 ukielekea ukingoni, inadaiwa kuwa Klabu ya Barcelona ina mpango wa kumuuza mshambuliaji wake, Robert Lewandowski mwishoni mwa msimu huu na nafasi yake kuchukuliwa na straika wa Liverpool, Darwin Nunez. Uamuzi huo umekuja baada ya Barcelona kushuhudia wapinzani wao wa...
  2. JanguKamaJangu

    Erling Haaland amecheza dakika 1,745 katika EPL, amekutwa offside mara moja tu

    Inaweza kukushangaza kiasi lakini huo ndio uhalisia, licha ya kuongoza kwa kufunga magoli 17 katika Premier League 2023/24 hadi sasa, takwimu zinaonesha Mshambuliaji wa ManchesterCity, Erling Haaland ameotea mara moja tu katika dakika 1,745 alizocheza, anayeongoza kwa kuotea ni Darwin Nunez wa...
Back
Top Bottom