control

  1. Q

    Naomba msaada jinsi ya Kupata control number NHIF mtandaoni kwa ajili ya malipo

    Wakuu msaada jinsi ya Kupata control number NHIF mtandaoni kwa ajili ya malipo.
  2. M

    Mganga wa kienyeji maarufu Dkt. Manyaunyau agundulika mbinu yake ya kutapeli watu kwa kumchezesha jini kimbunga kwa remote control

    Habari wadau, Mganga wa kienyeji maarufu kwa kunywa damu za paka. Dr manyau nyau agundulika mbinu yake ya utapeli. Akiwa anafanyiwa mahojiano na mtangazaji wa global online tv. Dr manyau nyau alitaka kuonesha mbwembwe kwa mwandishi huyo wa habari kwa kumuambia asalimie majini yake na aone...
  3. B

    Nahitaji application ambayo itasaidia kurecord stock movements kwenye maduka yangu mawili

    Habari wadau Nahitaji application ambayo itasaidia kurecord stock movements kwenye maduka yangu mawili. Moja ni Head office na moja ni branch. Yaan mtu anaye uza kwenye branch ,taarifa zote atakazozijaza za stock, zije automatically kwenye taarifa za simu yangu (kwenye head office ). Naomba...
  4. N

    Tetesi: Kuna ukweli wowote wa kuchetusha malipo ya control number za serikali (GePg) kwenda kwa mtu binafsi?

    Government Electronic Payment Gateway (GePG) Kuna ukweli wowote wa kuchetusha malipo ya control number za serikali (GePG) kwenda kwa mtu binafsi? Kumekuwepo na taarifa za chini kwa chini kwa baadhi ya watu kuwa Kuna taasisi ukienda wanakupa control number kisha ukishalipiaa either ukiwaletea...
  5. Smith Rowe

    Production Supervisor or Quality Control looking for job or internship

    Natafuta kazi au internship Education: Bachelor degree of science in production and operations management. Expirience; I have worked in quality control and production supervising job, i can handle injection moulding and blow moulding production very well, i have experience with both of the...
  6. Rurakha

    Mfumo wa polisi unatoa invalid control number unapoomba loss report mtandaoni

    Mimi leo nina wiki naomba loss Report bila mafanikio nikifika hatua ya kulipia nikiingiza control number inaandika number does not exist.
  7. Jamii Opportunities

    Specialist; Fraud Control & Data Analytics at NMB Bank

    Position: Specialist; Fraud Control & Data Analytics Location: Head Office, HQ Main Responsibilities: Utilizing advanced data analytics techniques to closely monitor and analyze data, identify patterns and trends indicative of fraudulent activities, and promptly respond to any suspicious...
  8. R

    DAWASCO Wanakata maji bure wanaorejesha kwa kati ya 15,000 hadi 150,000 bila kutumia control number;

    Naungana na ACT wazalendo kwenye hoja yao waliyoelekeza kwa Waziri mwenye dhamana na masuala ya maji: wateja wanaolipia kuunganishiwa maji ni wengi lakini hakuna vifaa. Ukiuliza unaambiwa serikali haijatoa vifaa. Wateja wenye mifumo ya maji isiyotoa maji ni wengi na hakuna sababu za kwanini maji...
  9. Artificial intelligence

    Fluoride in the Water for Mind Control

    Fluoride katika maji kwa ajili ya kudhibiti akili Unaweza kuwa na ufahamu wa fluoridation. Ni mchakato ambao serikali/viwanda vya maji uongeza fluoride kwenye maji kwa ajili ya usambazaji/uzalishaji wa maji ya kunywa, lengo kuu la kutumia fluoride likiwa ni kuimarisha mifupa na meno, hasa...
  10. Rurakha

    Msaada wa ushauri: Nimekosea kulipia control ya malipo ya mwanafunzi wa Chuo cha CBE

    Habari za Leo wadau, Mimi ni Wakala. Leo dada wa kazini amekosea kulipia control number ambayo ni ada ya mwanafunzi wa CBE akamlipia mwanafunzi mwingine wa CBE ambae sio alietoa pesa. Naomba kuuliza hatua za kufuata Ili nitatue changamoto hii, naomba kuwasilisha. MREJESHO: Nilifuta ushauri wa...
  11. Mwachiluwi

    Tamaa za kimwili ni mbaya sana ukishindwa kuzi control

    Hellow Africa 🌍 Mwili una unaushawishi mkubwa sana ambapo ukishindwa kabisa kuzizibiti mwisho wa siku una aangukia poor Wanasayansi wanasemaga matendo yetu. Yanategemeana na vitu vitatu ID EG NA SUPER EGO hizi huwa zinavutana sana kila moja inataka ishinde mwili na akili pia zinategemana...
  12. gimmy's

    Msaada: Nimeomba 'Control Number' NACTE ya kulipia 10,000 badala ya 30,000. Sifahamu namna ya ku-cancel nianze upya

    Salaam, Wanabord ninaomba kufahamishwa kwa yeyote inaefahamu anisaidie kunifshamisha. Nacte wamefungua dirisha la udahili kwa vyuo vya afya ambapo deadline ni mwisho wa mwezi huu. Kwa kosa nililofanya la kupata control number ya 10,000 nitalazimika kuomba chuo kimoja tu hivyo nitakua na risk...
  13. Mathanzua

    Thirty-eight people control the lives of the other eight billion, says French billionaire

    According to a French billionaire and RDH President Philippe Argillier, the World Deep State a.k.a. Shadow Government infrastructure is behind World Governments officials who are paraded in front of the world. The people we see, in other words, are just puppets following the globalists’ orders...
  14. mcshonde

    Ye: They Can't Control Me

  15. Mathanzua

    Brazils' Foreign Minister slams WEF’s Great Reset: Says ''totalitarian social control Is not the remedy for any crisis'’

    Min. Ernesto Araújo JANUARY 7, 2021 Please share this story to a wider audience! PDF 📄 Brazil’s top leadership understands the threat of Technocracy and rejects the World Economic Forum’s intended Great Reset. As a result, its Administration is fighting attack hornets from all sides who are...
  16. APPROXIMATELY

    ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

    Hakuna sehemu kama Arusha, hali ya hewa safi, wakazi wa arusha wakarimu sana, pesa inapatikana ukijituma utapata,watu wa arusha wajanja, wazungu kwetu washikaji zetu. Natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu,mwingi wa rehema mwenye kutukuka,uliyekuwepo toka mwanzo na utakuwepo mpka milele...
Back
Top Bottom