champions league

  1. MK254

    Kenya's Michael Olunga wins AFC Champions League Golden Boot

    Al Duhail striker Michael Olunga celebrates a goal against Al Sadd during their Qatar Stars League match on November 3, 2021. PHOTO | POOL Michael Olunga, the captain of Kenya's national team Harambee Stars, emerged the top scorer in the 2021 Asian Football Confederation (AFC) Champions League...
  2. F

    Why ligi yetu haina mechi zenye ladha kama za champions league. Eg. Jwaneng, ud songo, rivers , zesco , mazembe etc

    Habari wadau Mimi ni shabiki sana wa soka la bongo. Nimejaribu kuvuta kumbu kumbu sijapata kabisa mechi za mashindano ya bongo yenye ladha kama za caf champions league. Jwaneng simpi sifa kwa kuifunga simba. Ila nampa sifa kwa kupiga mpira mkubwa away bila kukata tamaaa mwanzo mwisho. Yaani...
  3. C

    UEFA Champions League Matchday 03 Analysis

    UCL FULL TIME SCORES ⬇️ AJAX 4 DORTMUND 0 INTER 3 SHERIFF 1 SHAKHTAR 0 REAL MADRID 5 PORTO 1 AC MILAN 0 PSG 3 LEIPZIG 2 ATM 2 LIVERPOOL 3 Liverpool have won a #UCL game against Atletico Madrid for the first time in their history. Fifth time lucky. 😅 Only two English teams have beaten...
  4. M

    Msitutoe kwenye habari iliyopo mjini kwa sasa ya Yanga kuangukia pua asubuhi mapema caf champions league kwa kutuletea takwimu zilizopitwa na wakati!

    Habari iliyopo mjini ni utopolo kuangukia pua asubuhi na mapema caf champions league!! Hizi takwimu za mapato ya msimu uliopita mngetoa msimu uliopita!! Acha tuongelee habari ya mjini kwa sasa !
  5. M

    Simba aliishia karibu caf champions league msimu uliopita, msimu huu timu ya wananchi imefika mbali sana hadi NIGERIA!!

    Hao ndio mabingwa wa kihistoria Tz, wameitendea haki nafasi waliyoipata kwa mbeleko na kufika mbali sana kwenye caf champions league hadi NIGERIA!!!
  6. kavulata

    Kama Yanga itafungwa Champions League kichaka cha kufisha nyuso zao wanacho tayari

    Haitakuwa kazi ngumu kwa kocha, viongozi, wachezaji na mashabiki wa Yanga kujitetea kama ikitokea bahati mbaya wakafungwa na kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa msimu huu. Sababu zao zitakuwa hivi: 1. Wachezaji wao 3 muhimu wamezuiwa kucheza. 2. Timu haikuwa na pre-season nzuri 3. Wachezaji...
  7. F

    Kaizer Chiefs ametinga fainali ya CAF champions league, kiboko ya vigogo wenye mdomo

    Kaizer chiefs ametinga fainali ya caf kwa mara ya kwanza.. Tutegemee kama chelsea na ma city uefa final Maana upande wa al ahly na esperence yeyote atakaepita ni kigogo.. Kaizer ameshatangulia fainali
  8. F

    CAF sio wajinga kuwanyima marefa wa Tanzania mechi za CAF champions league

    Tazama mwenyewe picha .. Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa.. Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
  9. F

    VAR yawapa away goal kaizer chiefs vs waydad.. caf champions league semi final

    Muhuni kaizer chiefs. Anaongoza 1-0 ugenini morocco.. thanks to Var technology... kuanzia semi final caf wanaeka var kumbe Huyu muhuni baada ya kumuotea simba leo anaendeleza bahati yake ugenini
  10. Utopologist

    Mechi nyingine za CAF Champions League 2020/21

    15 min. MC Alger 0-0 Wydad Casablanca Wydad akiwa anatawala mchezo zaidi
  11. isajorsergio

    UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

    UEFA wamezitahadharisha vilabu vya ulaya vianvyojihusisha na kwenda Super Legue kwamba wanaweza kupigwa marufuku kwenye ligi zao za ndani na mashindano ya kimataifa kama wakiunda mshindani wa kombe la klabu bingwa barani Ulaya. Tamko la pamoja na uongozi wa ligi za Hispania, Uingereza na...
  12. F

    ubingwa wa enyimba champions league 2003, na mamelodi 2016 kama naiona kwa simba vile . Babra na Mo wananitisha mimi Mwanayanga

    Habari wadau.. Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje? Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi. Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai...
  13. M

    CAF Champions League: Simba SC in Pot 3 for Friday's draw

    Simba SC have been placed in Pot 3 for Friday's Caf Champions League group stage draw to be conducted in Cairo. As a result, the Msimbazi-based charges have now been placed in Pot 3 alongside Petro de Luanda of Angola, the winner between Sudanese outfit Al Hilal and Asante Kotoko of Ghana and MC...
  14. tyc

    Msuva aing'arisha Wydad Casablanca CAF Champions league, yafuzu makundi

    Wydad (Morocco) 3-0 Stade Malien (Mali) ( aggr 3-1) Mtanzania Simon Msuva jana alicheza kwa dakika 86 kabla ya kufanyiwa Sub, ambapo kwa muda huo mnamo dakika ya 46 kipindi cha pili alipiga krosi mujarrabu iliyomfikia Ellafi na kuweka mpira kimiani ikiwa ni goli la pili kwa Wydad Casablanca...
  15. hiram

    Mtanzania Mrisho Halfani Ngassa ndiye mchezaji aliyefunga hat trick nyingi kwenye mashindano ya CAF

    Mtanzania Mrisho Halfani Ngassa ndiye mchezaji aliyefunga hat trick nyingi kwenye mashindano ya CAF Champions league tembelea African Cup of Champions Clubs and CAF Champions League records and statistics - Wikipedia upate rekodi hizi maridhawa.
  16. PrincessBet

    Uefa champions league 20/21

    Champions bonus Inahusika kwenye usiku wa mabingwa kuanzia 2000/= weka ubashiri wako kwenye mechi za Uefa na Europa, sisi tutakupatia Bonus yako kibabe. Shinda zaidi. #cashout #princessbet #stakebackbonus
  17. The Humble Dreamer

    The UEFA Champions League 2020/21 Special Thread

    Wakuu Salaam: Mashindano ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya kwa hatua ya makundi yanaanza rasmi leo kwa mechi mbalimbali kupigwa viwanja tofauti. Ni timu ipi huenda ikaibuka mshindi kwa mashindano haya? Ratiba (20/10/2020). GROUP E Chelsea Vs Sevilla (22:00pm) FT: 0-0 Rennes Vs Fc Krasnodar...
  18. F

    Simba timu mnayo, ajirini mtaalam ama wafundisheni saikolojia wachezaji wenu mtatwaa CAF Champions League

    Habari wadau, Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba. Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA. Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni...
  19. F

    Mimi Nikipewa Yanga au Simba tunasumbua sana Champions League kwa style ya Enyimba, Mamelodi Sundows, Diamond Platnumz

    Habari wadau, binafsi ni mshabiki wa yanga miaka mingi. Simba ni watani wangu japo tabia zetu zinafanana ndio maana tunaishia kushindana wenyewe kwa wenyewe mchangani huku Natamani sana kabla sijafa nije nione mechi ya simba na yanga ambayo sio ya ligi kuu wala kombe lolote local natamani...
Back
Top Bottom