Al Duhail striker Michael Olunga celebrates a goal against Al Sadd during their Qatar Stars League match on November 3, 2021. PHOTO | POOL
Michael Olunga, the captain of Kenya's national team Harambee Stars, emerged the top scorer in the 2021 Asian Football Confederation (AFC) Champions League...
Habari wadau
Mimi ni shabiki sana wa soka la bongo.
Nimejaribu kuvuta kumbu kumbu sijapata kabisa mechi za mashindano ya bongo yenye ladha kama za caf champions league.
Jwaneng simpi sifa kwa kuifunga simba.
Ila nampa sifa kwa kupiga mpira mkubwa away bila kukata tamaaa mwanzo mwisho. Yaani...
UCL FULL TIME SCORES
⬇️
AJAX 4 DORTMUND 0
INTER 3 SHERIFF 1
SHAKHTAR 0 REAL MADRID 5
PORTO 1 AC MILAN 0
PSG 3 LEIPZIG 2
ATM 2 LIVERPOOL 3
Liverpool have won a #UCL game against Atletico Madrid for the first time in their history.
Fifth time lucky. 😅
Only two English teams have beaten...
Habari iliyopo mjini ni utopolo kuangukia pua asubuhi na mapema caf champions league!! Hizi takwimu za mapato ya msimu uliopita mngetoa msimu uliopita!! Acha tuongelee habari ya mjini kwa sasa !
Haitakuwa kazi ngumu kwa kocha, viongozi, wachezaji na mashabiki wa Yanga kujitetea kama ikitokea bahati mbaya wakafungwa na kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa msimu huu. Sababu zao zitakuwa hivi:
1. Wachezaji wao 3 muhimu wamezuiwa kucheza.
2. Timu haikuwa na pre-season nzuri
3. Wachezaji...
Kaizer chiefs ametinga fainali ya caf kwa mara ya kwanza..
Tutegemee kama chelsea na ma city uefa final
Maana upande wa al ahly na esperence yeyote atakaepita ni kigogo..
Kaizer ameshatangulia fainali
Tazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
Muhuni kaizer chiefs.
Anaongoza 1-0 ugenini morocco.. thanks to Var technology... kuanzia semi final caf wanaeka var kumbe
Huyu muhuni baada ya kumuotea simba leo anaendeleza bahati yake ugenini
UEFA wamezitahadharisha vilabu vya ulaya vianvyojihusisha na kwenda Super Legue kwamba wanaweza kupigwa marufuku kwenye ligi zao za ndani na mashindano ya kimataifa kama wakiunda mshindani wa kombe la klabu bingwa barani Ulaya.
Tamko la pamoja na uongozi wa ligi za Hispania, Uingereza na...
Habari wadau..
Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?
Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi.
Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai...
Simba SC have been placed in Pot 3 for Friday's Caf Champions League group stage draw to be conducted in Cairo. As a result, the Msimbazi-based charges have now been placed in Pot 3 alongside Petro de Luanda of Angola, the winner between Sudanese outfit Al Hilal and Asante Kotoko of Ghana and MC...
Wydad (Morocco) 3-0 Stade Malien (Mali)
( aggr 3-1)
Mtanzania Simon Msuva jana alicheza kwa dakika 86 kabla ya kufanyiwa Sub, ambapo kwa muda huo mnamo dakika ya 46 kipindi cha pili alipiga krosi mujarrabu iliyomfikia Ellafi na kuweka mpira kimiani ikiwa ni goli la pili kwa Wydad Casablanca...
Mtanzania Mrisho Halfani Ngassa ndiye mchezaji aliyefunga hat trick nyingi kwenye mashindano ya CAF Champions league tembelea African Cup of Champions Clubs and CAF Champions League records and statistics - Wikipedia upate rekodi hizi maridhawa.
Champions bonus
Inahusika kwenye usiku wa mabingwa kuanzia 2000/= weka ubashiri wako kwenye mechi za Uefa na Europa, sisi tutakupatia Bonus yako kibabe.
Shinda zaidi.
#cashout
#princessbet
#stakebackbonus
Wakuu Salaam:
Mashindano ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya kwa hatua ya makundi yanaanza rasmi leo kwa mechi mbalimbali kupigwa viwanja tofauti.
Ni timu ipi huenda ikaibuka mshindi kwa mashindano haya?
Ratiba (20/10/2020).
GROUP E
Chelsea Vs Sevilla (22:00pm)
FT: 0-0
Rennes Vs Fc Krasnodar...
Habari wadau,
Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba.
Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA.
Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni...
Habari wadau,
binafsi ni mshabiki wa yanga miaka mingi. Simba ni watani wangu japo tabia zetu zinafanana ndio maana tunaishia kushindana wenyewe kwa wenyewe mchangani huku
Natamani sana kabla sijafa nije nione mechi ya simba na yanga ambayo sio ya ligi kuu wala kombe lolote local
natamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.