Mfalme Daudi ni moja ya watu mashuhuri katika Biblia, na vita alivyopigana vinaelezewa hasa katika vitabu vya 1 Samweli, 2 Samweli, na Zaburi. Hapa ni baadhi ya vita muhimu alivyopigana kwa mujibu wa Biblia:
1. Vita dhidi ya Goliathi (1 Samweli 17)
Akitumia kombeo na mawe matano, alimshinda...
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameionya dunia dhidi ya uchokozi, ugaidi na chuki ya kigaidi ya irani kwenye mkutano wa UNGA unaondelea huko New York.
Bwana Netanyahu anasema Iran haipaswi kuwa na nyuklia kamwe kwa kuwa itatumia kuwauwa waarabu ambao sio mashia kama wao na , wayahudi...
Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹
Wanaukumbi.
Jeshi la Israel limethibitisha kwa mara ya kwanza habari zilizoripotiwa na Channel 12: mateka Ron Sherman, Nick Beizer, na Elia Toledano waliuawa kutokana na mashambulizi ya 'IDF'.-Kiebrania Ch.12
NETENYAHU kachanganyikiwa atawamaliza Mateka wake ambao alijitapa anaenda Rafah...
Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel wanapokaribia kuwafikia.Hata hivyo hakutoa ufafanuzi wa mfumo huo.
Inakumbukwa mnamo mwezi Juni jeshi la...
Sitaki kujua sana kuhusu huyu Mungu wa namna hii ila maagizo yake kwa watu wake hayapaswi kuendelea kuchukuliwa kawaida kwani yanahamasisha na kuchochea mauaji makubwa yanayo tekelezwa na Netanyahu na genge lake.
Kwa nini nimemtaja Netanyau katika hili ? Kwa sababu yeye kama waziri mkuu wa...
Wadau hamjamboni nyote?
Ni suala la muda tu kabla ya watajwa hapo juu kutumbuliwa
Waziri wa ulinzi yeye anasubiriwa arejee kutokea ziarani Marekani nchini Marekani. Ilikuwa atumbuliwe mapema lakini cha Ismael haniyeh kilichelewesha tangazo hilo
Taarifa kamili hapo chini:
Mungu ibariki Israel...
Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini
Mungu ibariki taifa teule la Israel
Netanyahu visits site of deadly Majdal Shams attack, vows ‘harsh response’
Prime Minister Benjamin Netanyahu visits the soccer field in Majdal Shams where a rocket killed 12 children on Saturday, and...
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris - ambaye anatarajiwa kuwa mteule wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa Novemba - amefanya kile alichokiita "mazungumzo ya wazi na yenye kujenga" na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Akiwa na sauti kali zaidi kuliko Rais Joe Biden, Bi...
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu leo analihutubia bunge la pamoja la Marekani (House of Representatives na Senate), nusu wabunge na maseneta kutoka chama cha Democrats wamesusia na kutohudhuria hotuba yake huku wabunge na maseneta karibia wote wa chama cha Republicans wakihudhuria.
Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country...
Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.
Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia...
Kitu kilchotokea Israel ni kibaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.Na yote ni kutokana na siasa za ubabe wa Benjamin Netanyahu.
Siasa zake hizo imekuwa sababu ya kuwakasirisha zaidi wapalestina ambao sasa wameamua kujitoa muhanga kupambana badala ya kulia lia na kuomba kuhurumiwa.
Wananchi...
Licha ya kujipendekeza kwenye dini za Wazungu/Waisrael (Christian) na Waarabu (Islam) Bado mtu Mweusi anakataliwa Kila mahala.
Ikumbukwe Morocco na Tunisia zilisema zitawatimua Watu Weusi wote na Kuzuia kuingia Nchini humo.
Huko Ulaya maelfu hufa maji na huachwa waozee huko na Wazungu...
Waziri Mkuu wa zamani wa ISRAEL, Benjamin Netanyahu anaongoza kwa asilimia 62% ya idadi ya kura zilizohesabiwa mpaka sasa.
Pia tayari chama chake cha mrengo wa kulia cha Likud kimeshinda idadi ya Viti 69 kati ya 120 katika bunge la nchi hiyo Knesset na hivyo kujihakikishia kuunda serikali.
Kwa...
Bunge la Israeli limesema Kura juu ya Serikali mpya ambayo inaweza kumaliza Utawala wa miaka 12 wa Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu, itapigwa Juni 13, 2021.
Kiongozi huyo aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi Nchini Israeli (miaka 12) ameuita Muungano mpya kuwa ni udanganyifu wa karne.
Ikiwa...
Makundi ya Wazayuni yatishia kumuua mrithi mtarajiwa wa Netanyahu, Israel
Jun 06, 2021 07:27 UTC
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, waziri mkuu mtarajiwa wa utawala huo Naftali Bennett anayetoka muungano wa wapinzanii wa waziri mkuu wa ssaa Benjamin Netanyahu...
Waziri Mkuu wa Israel Mheshimiwa Benjamin Netanyau amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Masuala ya Kigeni wa Marekani Antony Blinken.
Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu leo Mei 25, 2021 Benjamin Netsnyau alimshukuru Bwana Blinken na Rais Joe Biden kwa kuendelea...
Nukuu
PM Netanyahu: " Msaada kwa Hamas na Islamic Jihad unatoka Iran. Ukiondoa Msaada wa Iran wote wataanguka ndani ya wiki mbili. Iran haisaidii tu matendo ya kigaidi bali inashiriki kwenye mashambulizi ya silaha dhidi ya Israel. Na huu ni ushahidi".
Nanukuu
PM Netanyahu: "The support for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.