Kwenye kundi la Wagombea 5 wanaopewa nafasi ya mmjawao kuwa mgombea Mwanza wa Bi. Harris Kamala kwenye uchaguzi ujao yupo Bwana Pete ambae ni Waziri wa Uchukuzi.
Bwana huyo anaelezwa kuwa ni mahiri na stadi wa kujieleza ambae anaweza msaidia Harris kumshinda Trump.
--
Kamala Harris ataanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.