Duru zinaeleza kuwa aliyekua Naibu Rais wa Kenya amewaelekeza wanasheria wake kufungua kesi Mahakama ya ICC The Hague ili apate haki yake ambavyo ameikosa kwenye Mahakama za Kenya.
Kesi ya kupinga Kuondolewa Madarakani kwa aliyekua Naibu Rais Gachagua inaelekea pazuri na punde mahakama inamrejesha kwenye mamlaka yake ya awali. Asante Katiba.
President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle which will result in the abolition of about seven ministries.
A front-page publication by a local media house citing...
Igweeeeeee!!!! Habari zisizo rasmi ila zipo rasmi kwa manabii nikuwa kesho tarehe Nne mwezi wa Tisa huko Kenya Mungu anaenda pinduwa meza kama alivyo fanya kwa mzaliwa wa kwanza Esau...
Nihivi...
Maoifisa wa benki ya Equity Tanzania wanadaiwa kutoa siri za wateja kuhusu kiwango cha pesa walichonacho kwenye akaunti zao.
Hili ni kosa kwa mujibu wa sheria ya Benki Kuu ya Tanzania(BoT) lakini...
Fursa nyingine imeiruka Kenya ikaenda Tanzania. Siku za hivi karibuni nchi za Afrika mashariki zimekuwa zikingia kwenye deals/miungano au ushirikiano kwa mambo mbali mbali huku Kenya ikiwachwa...
Nakumbuka tukipigiwa makelele hapa eti Dada Silvya mulinge ni akili kubwa na anafaa kuongoza Vodacom Tz.
Bahati nzuri TISS ya tanzania ikamchunguza kwa makini na kubaini kwamba ni Mlevi, Muuaji wa...
Rais anayemaliza muda wake Nkurunzinza pamoja na mkewe wamepimwa na kukutwa na Virusi ya Corona
=======
It is now emerging that Burundi’s President Pierre Nkurunzinza could after all have...
Hilo limeamuliwa na mahakama kuu ya USA, kwamba walipwe hela ya Kenya trilioni 1.2
Aki ya nani hiyo hela ni ndefu sana....
Sijui kama majirani ambao pia waliathirika na wao watapa kitu,
The US...
MY TAKE
Lets see how this will end! If Raila is not smart enough, he will be left in cold again just like during Moi's handover! I won't be surprized if Raila is to end up vying in 2022 on the...
Wakuu..
Hivi Mikenya ina kwama wapi? Mafuta ghafi duniani sasa ni ya kumwaga..Wanunuzi wanalipwa $37 na wachimbaji agalau wawaondolee mafuta kwa matenki yao..
Nchi ya GDP wako bize kusafirisha...
Wakuu,
Kumekucha, habari ndio hio.Tanzania ndio babalao.
======
FOOD INSECURITY! Prices of commodities rise in Migori amid dwindling supply
Closure of Tanzania border means supply of rice...
Mkenya wa kwanza kutajwa kuwa na Corona amepona yuko freshi, hayo yametangazwa na rais Uhuru, duh ila maambukizi yanaendelea kuzagaa, wengine watatu wapatikana nacho kirusi. Hiki kitu tutapona ila...
Effects of Corona virus on economies where "Mzungu" investors own 70% of Stock Exchange
👇👇
=============
Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble - Citizentv.co.ke
Wakuu,
Tunajua wenzetu hapa hujiliwaza na Ma GDP lakini kwa ground mambo ni different. Huku soko la biashara hizi zikienda kwa wazungu😂😂
======
Tuskys supermarket staff. [Jonah...
Kumekucha Afrika, ni rasmi bahari ya Hindi itaunganishwa na bahari ya Atlantic kupitia mradi wa LAPSSET, dah! Kenya patamu, Afrika inazidi kupaa. Afrika yote tunaungana kupitia AfCFTA, wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.