Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Watu watatu akiwemo dereva bodaboda mmoja na abiria wake na mwalimu, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ndege ndogo, tukio lililotokea katika Kijiji cha Kwachocha, Malindi nchini Kenya.
Ndege hiyo iliyokuwa kwenye safari ya kawaida ya mafunzo, inadaiwa kuwa ilipata hitilafu ya kiufundi, na kuilazimu kutua katika barabara kuu ya Malindi-Mombasa, na kusababisha maafa hayo.
Kulingana na ripoti ya polisi, ndege hiyo aina ya Cesna 172 ilikuwa ikitoka katika Uwanja wa Ndege wa Malindi kuelekea Uwanja wa Ndege wa Wilson, Nairobi ilipopata matatizo ya kiufundi.
Rubani wa ndege na wahudumu wengine akiwemo aliyekuwa akipatiwa mafunzo waliokolewa na kukimbizwa katika Hospitali ya Tawfiq, Malindi huku abiria mmoja akiteketea kiasi cha kutotambulika.
================================================================
A light aircraft crash-landed Friday in Kenya ‘s coastal Malindi County, killing three people on the ground, a local police official said.
The three fatalities included a motorcycle taxi driver who was killed when the plane burst into flames on impact in the town of Kwachocha along the Malindi-Mombasa highway, Sub-County Police Commander LuckyJoski Mudavadi said.
Two other victims, a motorcycle rider and a female passenger, died when parts from the separated wings and tail of the plane hit them as the aircraft crashed into a building.
A pilot and two students who were on board were being treated for injuries sustained after they jumped out of the plane before it crashed. Police were investigating the cause of the accident.
The Kwachocha area neighbors Malindi airport and its residents are in court over government plans to expand the airport before land compensation cases are concluded.
A local county assembly legislator, Rashid Odhiambo, told journalists that the accident reemphasizes the need for safety precautions to be enforced around the airport.
“Those involved in the airport management should keep ensuring safety around the airport and not just concentrate on inside the airport,” he said.
Source: AP News, Global TV Online
Ndege hiyo iliyokuwa kwenye safari ya kawaida ya mafunzo, inadaiwa kuwa ilipata hitilafu ya kiufundi, na kuilazimu kutua katika barabara kuu ya Malindi-Mombasa, na kusababisha maafa hayo.
Kulingana na ripoti ya polisi, ndege hiyo aina ya Cesna 172 ilikuwa ikitoka katika Uwanja wa Ndege wa Malindi kuelekea Uwanja wa Ndege wa Wilson, Nairobi ilipopata matatizo ya kiufundi.
Rubani wa ndege na wahudumu wengine akiwemo aliyekuwa akipatiwa mafunzo waliokolewa na kukimbizwa katika Hospitali ya Tawfiq, Malindi huku abiria mmoja akiteketea kiasi cha kutotambulika.
================================================================
A light aircraft crash-landed Friday in Kenya ‘s coastal Malindi County, killing three people on the ground, a local police official said.
The three fatalities included a motorcycle taxi driver who was killed when the plane burst into flames on impact in the town of Kwachocha along the Malindi-Mombasa highway, Sub-County Police Commander LuckyJoski Mudavadi said.
Two other victims, a motorcycle rider and a female passenger, died when parts from the separated wings and tail of the plane hit them as the aircraft crashed into a building.
A pilot and two students who were on board were being treated for injuries sustained after they jumped out of the plane before it crashed. Police were investigating the cause of the accident.
The Kwachocha area neighbors Malindi airport and its residents are in court over government plans to expand the airport before land compensation cases are concluded.
A local county assembly legislator, Rashid Odhiambo, told journalists that the accident reemphasizes the need for safety precautions to be enforced around the airport.
“Those involved in the airport management should keep ensuring safety around the airport and not just concentrate on inside the airport,” he said.
Source: AP News, Global TV Online