Tetesi: UPDATE: Kenya WAR over with Somalia over indian Ocean -Somalia seeks Millitary assistance from Ethiopia

This is the same election Kenya Wants to rigg in their stooge president.
NEVER INTERFER WITH INTERNAL POLITICS OF ANOTHER COUNTRY
And to many pples suprise, Ethiopia is now helping somalia aganist Jubaland and their benefactors- Kenya
👇👇
 
Madobe will be reelected. Somalia and Ethiopia cannot stop it.
 
Ni wapi kwenye hiyo comment yangu ambapo nimesema kwamba tunaiogopa Ethiopia? Hebu isome tena mara tatu.
Usijitoe ufahamu kijana,unajifanya umesahau majeshi ya ethiopia yalivyovuka mpaka na kuingia kenya kutembeza kichapo!
 
Reactions: Oii
Wasomali wa Kenya hawawezi kubali kuunganishwa na nchi iliyoraruka raruka kama Somalia
Pamoja na kukaa nao karibu lakini ahuwajui wasomali,hao wasomali wakenya ndio watakua wabaya kinoma maana kenya wanaijua nje ndani,usijidanganye ikitokea hiyo vita kama hao watakua upande wa kenya
 
Wasomali wa Kenya hawawezi kubali kuunganishwa na nchi iliyoraruka raruka kama Somalia
This is something that really pisses of Somali nationalists in Mogadishu and some other few places, nobody in their right mind wants to be in the same nations with a broken nation/fanatics...

Same reason they hate leaders of Somaliland..
 
This is something that really pisses of Somali nationalists in Mogadishu and some other few places, nobody in their right mind wants to be in the same nations with a broken nation/fanatics...
Same reason they hate leaders of Somaliland..
Very true, Kenyan Somalis are hated by other Somalis, from Somalia, Ethiopia and even in the diaspora, for the simple reason that they
abbreviate their ethnicity with Kenya, ie. Kenyan Somali. It pisses them off that they are never eager to associate themselves with Somalia. Who can blame them, Somalia is a mega shithole!
 
Nobody is rigging anybody all Kenya wants is a stable regional government which will act as a buffer zone .
Jubaland have been stable under Madoobe.
However the central government is trying to destabilize it.
Considering that Kenya played a huge role in stabilizing the region it would be very unwise for Kenya to sit and watch as jubaland goes dogs .
Anyway let's wait for the Elections outcome
 
Jubaland and somaliland are NOT even recognized by THE UNITED NATIONS. Anyone meddling there is deemed to be meddling with somali federal government. That is why Ethiopia can confidently send troops to jubaland at the invitation of farmaajo
Uhuru is just 1 stupid president with ZERO brains and ZERO international relations knowledge
 
Please settle down and NOTE: Jubaland/Azaaniya/Dooxada is not a creation of Pres. Uhuru Kenyatta. The Jubaland initiative goes way back to 2011 and the Mwai Kibaki era. It goes to show that Kenya's foreign policy is stable and constant. I advice you to read wide and deep about Jubaland, its leader Pres. Sheikh Madobe and Kenya's role in these matters. You sound like a wide eyed bimbo when you flex, rave and rant about matters that are beyond your comprehension.
 
Huyo Mkikuyu Akili-timamu si ndo mwanzo wa mwaka alianzisha alarmist thread na kusema ako na 'inside' information kutoka kwa IMF kwamba shilingi ya Kenya itaanguka na akaambia kila mtu alie na pesa za Kenya akimbie kwa forex exchange na kubadilisha iwe dollar kabla shilingi ipoteze thamani yake....


As recent as last month, Abby alishuka JKIA na rais wa Somalia Abby kujaribu ku mediate mzozo kati ya Kenya na Somalia, sasa mwezi mmoja baadae huyu "Akili-timamu" anataka tuamini Kenya na Ethiopia ziko on the verge of starting proxy wars in Somalia.








------------------
Kama ni Kweli kwamba hio ndege ya Ethiopia iliregeshwa huko Kismayu basi hizo ni siasa, Kismayu airport traffic control/customs/ was handed over to Jubaland administration it is no longer under KDF control ...... Tena isitoshe, Ethiopia wako na Kikosi cha jeshi hapo Kismayu town

Ethiopian troops in Kismayu





And BTW, JUbaland Administration ili ban all air traffic from landing in Kismayu from Tue-Friday.... Not just the ethiopian plane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…