Tetesi: Noma..... EU Boost Kenya's Big 4 Agenda with a whooping Sh519B


Kwao ni trillions....
 
HADI TUNAVYOOONGEA SISI TANZANIA NDO NCHI INAYOOONGOZA KWA KUPEWA MISAADA AFRICA HADI KUFIKIA MWAKA HUU KABLA KINA BASHITE HAWAJAVURUGA NA WATU WASIOJULIKNA KUCHAFUA HALI YA HEWA...MISAADA IMEKATA TUNATENGENEZA BAJETI KUUUBWA KUMBE PULIZO,BAJETI HEWA
Usiandike usivyo vijua, Kenya inapokea misada kama Tanzania, tena level moja. Na fungu kama hili la kwenye Uzi huu, lazima watakuwa wameshika numba za mwanzoni.
 
This a very great development, the big four agenda, if successfully seen through will change the face of Kenya very drastically. It is indeed a step in the right direction to achieving Kenya's Vision 2030.

Uhuru akifanikisha hii big four yaani kwa kweli atakumbukwa sana, naomba sana tufaulu maana Wakenya watakua kwenye level nyingine tena mbali, vision 2030 naiona.
 
Usiandike usivyo vijua, Kenya inapokea misada kama Tanzania, tena level moja. Na fungu kama hili la kwenye Uzi huu, lazima watakuwa wameshika numba za mwanzoni.
BADA YA HILI FUNGU NDO WATAKUWA WAMETUZIDI SISI NDO NAMBA MOJA AFRIKA NZIMA NA SASA HIVI HAWATAKI MAMAEEEEE,ZIMBABWE ON THE WAY
 
Naona bado tunapiga vifua na pongezi nyingi kwa mabwana zetu EU na wengine kibao huko Maulayani na Mawesten hasa pale tupewapo misaada mbalimbali.

Ila ikumbukwe tunavyopoteza Africa ni vingi kuliko hii misaada yao kwetu.

Ni heri kukopa kiasi kikubwa cha pesa kutoka WB na mashirika mengine ili kukamilisha mipango endelevu kwa uchumi wetu kuliko kubweteka na kusubir vimisaada vyao tena vyenye mashart lukuki.

VIVA AFRICA
VIVA EAC
 
BADA YA HILI FUNGU NDO WATAKUWA WAMETUZIDI SISI NDO NAMBA MOJA AFRIKA NZIMA NA SASA HIVI HAWATAKI MAMAEEEEE,ZIMBABWE ON THE WAY
Hivi umefanya utafiti kuona kama Tanzania ndio numba moja Afrika au unasema kwa hisia zako.

Katika top ten ya nchi zinazopokea misaada Afrika, Tanzania ni no. 3 Kenya ni no. 4.
 
Hivi umefanya utafiti kuona kama Tanzania ndio numba moja Afrika au unasema kwa hisia zako.

Katika top ten ya nchi zinazopokea misaada Afrika, Tanzania ni no. 3 Kenya ni no. 4.
The contradictions you bring here are unmatched anywhere sanity exists.
 
Thank you for telling us nothing
Your right, this is not a news to many of you. You must all knew this that Kenya is amongst highest aid recipient in Africa.
 
Hivi mwafurahia misaada

Kuna tofauti kati ya grants na donation, hata hivyo hatuwezi kugomea wakitupa mahela maana tunayahitaji ili kufanya makubwa, wao wameinyonya Afrika pakubwa ikiwemo madini yenu, hivyo wakirejesha kwa njia ya ruzuku tunapokea tu, cha msingi sisi hatutegemei misaada kuendesha bajeti ya nchi kama mnavyofanya.
 
Your right, this is not a news to many of you. You must all knew this that Kenya is amongst highest aid recipient in Africa.

Ati "You must all knew?..... Hahaha nikecheka hadi basi.... Ptoh acheni kujiabisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…