PISTO LERO JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 2,819 Reaction score 1,455 Jan 11, 2013 #1 Kama Raisi wa Jamhuri ya watu wa Kenya analipwa Dola za kimarekani laki Tatu yaani (USD 300,000)Kwa mwezi . Je? Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania analipwa Pesa ngapi kwa mwezi??????!.
Kama Raisi wa Jamhuri ya watu wa Kenya analipwa Dola za kimarekani laki Tatu yaani (USD 300,000)Kwa mwezi . Je? Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania analipwa Pesa ngapi kwa mwezi??????!.
M Mwinola Member Joined Sep 29, 2012 Posts 32 Reaction score 2 Jan 11, 2013 #2 Mhuuu 2lio wengi hatujui!Kama unafahamu 2tonye basi!!!
PISTO LERO JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 2,819 Reaction score 1,455 Jan 11, 2013 Thread starter #3 Hata mimi nahitaji kufahamu ndugu.