Msafiri epuka kupitia Nairobi/JKIA maandamano hadi airport?

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Kuna mtu huku Tanzania anapitosha watu anaitwa Haji Manara.
Jana kwenye kusanyiko la vijana wa CCM anawaambia eti Gen Z wa huko Kenya wanajutia waliyofanya na kusifia wa huku Tanzania kuwa eti Wakenya wanawasifu kwa utulivu.
Natamani wampe neno moja tuu, aufyate
 
Huyo huwa hajitambui kabisa.Ameshazoea kuishi kidezodezo kwa kupiga domo na unafiki mitaani.Anayajua maisha ya kitaa huyo?Mpaka atakaporudi kupiga dufu ndiyo akili nazo zitamrudi lakini kama anazo kweli!
 
Huyo wa kupuuza wakimjibu atakimbilia anaonewa kisa yy zeruzeru.Mzee wa yanga alimjibu juzi 🤣🤣🤣jamaa kumbe alikua analewa harafu anabinuka kama tipa linamwaga mchanga sasa huyo kweli wakenye ndo wapoteze mda kumjibu🤣🤣🤣
 
Rais wa sudan aliondolewa madarakani kisa bei ya mkate kuwa juu,leo hii yupo Sero anajuta
 
Sasa unataka tuige upuuzi wa Kenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…