Toka laki 6 huku sasa zinapukutika jamaa wanawakati mgumu kuliko wale wa Raila walio kuwa wakijipa moyo
ODINGA HOYEEEEE....!!!. lazima Odinga ashinde. mia
Mungu yupi?
wawa nyonge...
ilikuwa zaidi ya laki sita...
Walianza ya Uhuru sasa ngome ya Raila unaona gap hiyo ya laki 2 na ushee?
Aisee Kenyatta anaweza kupigwa bao la kisigono hivihivi! But tusubirie..... Gap sasa nika laki 2 toka karibu laki 7