March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Kenya kitaanza kunuka pale moja kati ya Raila na Uhuru itapoanza kuonekana kuna anayeshindwa.

Kwasasa kila mmoja ana matumaini!

Tuwaombee hawa wenzetu kwakweli!
 
Mmh, ngoja tuone bwana.
Kwani wale polisi waliuwawa kwa sababu gani na nani aliwaua?
 
Watanzania, kupitia uchaguzi huu wa kenya tunakitu cha kujifunza....hasa MaCCM na tume yao ya uchaguzi.
 
Yani watanzania kazi yetu ni kujifunza kwa wenzetu kila na kwa kila kitu lakini tunaonekana kutoelewa kabisa!

Sijui ni lini wenzetu watajifunza kutoka kwetu?

Watanzania, kupitia uchaguzi huu wa kenya tunakitu cha kujifunza....hasa MaCCM na tume yao ya uchaguzi.
 
Baba yake alikuwa rais. Dont you think urais utakuwa unafanywa wa ukoo?
It may also apply in Tz.

Sent from my GT-P7500 using Tapatalk HD

Baba yake Karume alikuwa raisi, baba yake Bush alikuwa raisi, baba yake Kabila alikuwa raisi-huko kote sijaona kama uraisi umefanywa wa ukoo!!!
 
Dah ataongoza nchi kutokea The Hugue thru skype? Raila's voice
 
Hata kura milioni moja bado so let's wait
 
Update : saa 3:00 usiku

Uhuru - 531,843 57.51%
Raila - 356,681 38.52%

Tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…