March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Tutajieni matokeo yanatoka pande ipi pia. Kama ni central it is no wonder
 
Kwa mujibu wa matokeo ambayo yamekwishatangazwa mpaka sasa ni kwamba Kinyatta ameshapata kura 430,000 na mpinzani wake wa karibu Bwana Raila ameshapata kura 170,400
Chanzo: Daily nation

Mkuu mbona mambo bado sana. Isije ikawa hayo ni matokeo ya Central Kenya ambako ndiko kwenye ngome ya Kenyatta. All in all namtakia Kenyatta ushindi ili iwe fundisho kwa wazungu ambao nadhani wana njama dhidi ya Kenyatta. Iweje Kenyatta atuhumiwe kwa vurugu za PEV walati vinara wa zile vurugu walikuwa ni mzee Kibaki na Raila. Kama Kibaki au Raila mmoja wao angekubali kushindwa hizo vurugu zingetokea wapi. Vurugu zilisababishwa na uroho wa madaraka. Ingefaa Raila na Kibaki ndio wangefikishwa the Hague kama Badgbo
 
Hayo ni matokeo ya awali na ni mapema sana kuanza kubashiri ushindi kwa mgombea yeyote.Kuna mamilioni ya Wakenya wamejiandikisha kupiga kura. Kuanza kuzungumzia matokeo ya kura 500,000 sidhani kama inatupa picha halisi ya matokeo.
kweli kwasababu waliojiandikisha ni zaidi ya milion 10...
 
Odinga anaanza kupanda!! Sasa ngoja watoe zile za kambi ya Odinga uone kibao kitakavyojeuka!! It is too early to predict kuwa Uhuru ni kinara at only 8% of all votes!!!
 
wadau mpaka sasa kwa vituo vingi vilivyotangazwa the citizen na vinaendelea kutangazwa kenyatta anaongoza kwa kula nyng sn.
 
wadau mpaka sasa kwa vituo vingi vilivyotangazwa the citizen na vinaendelea kutangazwa kenyatta anaongoza kwa kula nyng sn.

Yaani kura laki 4 alizonazo Kenyatta kwa wapiga kura milioni 14
tayari ushajua kuwa atashinda! Sheikh Yahaya syndrome...
 
Kwa mwande huu uchaguzi ni mgumu na unaweza kurudiwa!

Odinga anaanza kupanda!! Sasa ngoja watoe zile za kambi ya Odinga uone kibao kitakavyojeuka!! It is too early to predict kuwa Uhuru ni kinara at only 8% of all votes!!!
 
Ingekuwa Tanzania matokeo ya urais ni baada ya siku saba!!! Hadi yachakachuliwe kwanza na tume!
 
Ni mapema mno acheni udaku watanzania...
 
wadau mpaka sasa kwa vituo vingi vilivyotangazwa the citizen na vinaendelea kutangazwa kenyatta anaongoza kwa kula nyng sn.

Kenya kuna mambo. Nakumbuka mwaka 2007 wakikuyu waliapa kwamba hawawezo kumpa mchi mtu ambaye hajapata suna! Miaka ya karibuni kuna ndugu zake Raila walienda kupata suna uzeeni. Sasa kama walipata suna halafu Raila aukose Urais itakuwa shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…