Una maana Lissu huyo akaondoa polisi lindoni na akarudi kuondoa na zile CCTV. Kwa kutuona je vile?Lissu alijiandalia watu wampige risasi hivi siniper tena muuaji alijifunza kutumia bunduki anapiga risasi 16 gari iliyosimama anapasua tu vioo na miguu?
Itashuka ila si SANA...Shilingi ya Kenya subiri kuiona ikiporomoka zaidi kesho.
Leo ni Ksh 1 ni Tsh 18 ila itashuka sana kwa maandamano haya
Kenya ndiko wanakoelekea,
Wataandamana na kwenda kupora na kujimilikisha mashamba ya matajiri Ili nao wapate Ardhi,
Maskini akipata ardhi, cost of living inatatulika pakubwa,
Nasisitiza KENYA Wana mengi ya kujifunza Kutoka kwetu kuliko sisi kujifunza machache Kutoka kwao.
Kwamba nitoke nyumbani nikaandamane Kwasababu ya Mbowe??Makosa makubwa ni kutumia viambishi "u".
"Tu" -- "ingependeza zaidi" -- Dr. Shika.
Vinginevyo labda kama unataka kujinasibu kuwa ni kijana wa hovyo tu.
Unamaanisha nawe ni mmoja wa wajinga hao?
Kwamba nitoke nyumbani nikaandamane Kwasababu ya Mbowe??
Unamaanisha nawe ni mmoja wa wajinga hao?
Unafurahia kuona Askari akikimbizwa na wananchi kana kwamba huko walikoelekea wananchi walienda kubomoa maghala ya kutunza UNGA wa Mahindi na Kila aliendamana alipata kiroba chake kupeleka nyumbani?
Narudia, waandamanaji warudi kuangalia mashamba makubwa ambayo yangetumika kulima Mahindi ya CHAKULA yanamilikiwa na nani kama Si ODINGA na KENYATTA!!!
Tupo pamoja, ni vile tu, sisi hufikiri BEYOND LIMITS!!!
ODINGA unayemsemea kuwa sie watz tuna mengi ya kujifunza ni Mtanzania?Kuwa kuna wajinga wengi si lazima niwemo.
Ila ninajua kuwa kwa vile miye siyo mkenya wala wewe, kujimwambafy kuyajua yao kuliko wao wenyewe huo kwa hakika ni ujinga uliopitiliza! 🤣🤣
Au nasema uongo ndugu yangu?
ODINGA unayemsemea kuwa sie watz tuna mengi ya kujifunza ni Mtanzania?
Wakenya ni ndugu zetu, huoni pia kutowaongelea ndugu zetu Kwa Nia njema ni ujinga pia?
Kuweka emoj za kucheka ktk Kila comment huoni ni ujinga pia?
MoronKuna aliyeandamana Kenya kwa sababu ya Raila?
Mbona iko wazi vijana wa hovyo hawahitaji? Kwani kuna mtu amekuita?
MoronKuna aliyeandamana Kenya kwa sababu ya Raila?
Mbona iko wazi vijana wa hovyo hawahitaji? Kwani kuna mtu amekuita?
At least comment hii hujaweka emoj ya kicheko.Tofautisha kuwaongelea na kuyajua yao kuliko wao. Hapo ndipo Dkt. Mollel anapokuhusu moja kwa moja.
So says youMoron
Emoji zisikupe taabu mjomba.At least comment hii hujaweka emoj ya kicheko.
Anyway, mm sipo mbali na wewe, uko right Kwa ulichokiangazia,
Nilichokuwa nakisisitiza Kwa majirani zetu ni kuwa Tanzania na Kenya haziwezi kuwa sawa ktk level moja kutatua changamoto ya kupaa cost of living.
Tanzania tunakosa viongozi makini wenye maono bt tunavARDHI ya kutosha.
Kenya umma wa wakenya hawana ARDHI ambayo ni Moja ya Raslimali muhimu ambayo Mafuta yakiwa Bei chini, Au Mbolea ikipatikana Kwa Bei chini,ni Rahisi kuwekeza ktk KILIMO na kupunguza mfumuko wa Bei masokoni nk nk.
mashoga magufuli aliwalinda baada ya makonda kutangaza kiama chenu saiv mmejazana kwenye makorido ya lumumba mnafokonyolewa kwa upumbavu wenu.Ndo maana na mimi lile shoga nimelipuuza mkuu, baada ya kugundua kuwa kila mwanaume anaeingia humu anajipigia tu.
Shikamoo kwa kuchoma ofisi za chama kingine cha siasa? utakuwa mgonjwaYapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:
1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.
View attachment 2559513
Mafunzo mengine karibuni tuongezee.
View attachment 2559510
"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana wa hovyo."
Hadi hapo:
"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Usichukulie siasa serious kiasi hiko. Wanasiasa ni watafuta pesa tu, ukiweka mzigo mezani hawaongei
Though hawa wamehaidiwa majimbo
Ukweli una tabia ya kuchelewaBila ushahidi usioweza kutingishwa, tuhuma hubakia kuwa chai ya tangawizi.