Odinga atulizane. Kuendesha nchi si kitu rahisi. Amuunge mkono na kumsaidia kumpa ushauri na mengineyo mwenzake.
Uwingi wa watu au wafuasi hauwezi kuthibitisha jambo kuwa sahihi au ujweli. Usahihi na ukweli unabaki hivyo hivyo hata bila ya kuungwa mkono na mtu.Kwamba kuungwa mkono si issue? Kwani democracy ni nini? Hukuwahi kusikia wengi wape vinginevyo watachukua kwa nguvu. Hiyo ndiyo demokrasia sasa. Wewe huna uungwaji mkono tambua kuwa huna hoja!
Unaamini umma ukiamua kuandamana kuna polisi atakayethubutu kuzuia?
Wote watakimbia kunusuru maisha yao mkuu.
Rejea nchi mbalimbali namna watawala walivyolewa madaraka wakaamini hakuna mbwa atakasogea barabarani kwakuwa watatumia jeshi kuwapa kichapo lakini siku isiyotarajiwa waliacha starehe zote walizozoea kuponda nakukimbia makazi yao ya kifahari.
Siasa siyo uadui ndio sababu CCM wampongeza Mbowe!Tate Mkuu adui yako akikupongeza tambua kuwa unaupiga fyongo 🤣🤣
Uwingi wa watu au wafuasi hauwezi kuthibitisha jambo kuwa sahihi au ujweli. Usahihi na ukweli unabaki hivyo hivyo hata bila ya kuungwa mkono na mtu.
Hilo zee, limeshindwa chaguzi zote lilizoshiriki, halina what it takes to a be president, not presidential material.
Limekua kwenye serikali siku zote na halikuwahi kuwa na meaningful contribution kwenye poverty alleviation policies and strategies. Leo linakuja na baseless claims
Kama katiba, Kenya wanayo nzuri, inflation ni issue ya kidunia Kenya is not exception. Hoja ni nini? Ni lizee jinga kabisa
Hizo ni hoja za kitoto, maisha hayajawahi kuwa rahisi tangu mwanzo wa ulimwengu. Serekali bado ni mpya, inaweka mipango yake,huwezi kudai imeshindwa wakati ndiyo kwanza inaanza. Utampimaje mtu na kumuamulia arbitrary kwamba kashindwa wakati hana ata miezi sita madarakani?Kuwa na katiba nzuri si mwisho wa mapambano. Kupata nzuri zaidi mapambano lazima yaendelee.
Raila anaungwa mkono na mamilioni ya watu. Kukataa kusikiliza hoja zao hakuwezi kuwa halali.
Hawa wanataka kusikilizwa. Kwa nini wasisikilizwe? Nchi si Mali binafsi ya mtu au watu. Rejea kwetu Msoga boys na walamba asali.
Maisha yamekuwa magumu walamba asali wanasema si kweli. Vijana wa hovyo wanakenua.
Kongole Kenya vijana wa hovyo hovyo kama kina joni wanaweza kuwa si wengi kama kwetu.
Siasa siyo uadui ndio sababu CCM wampongeza Mbowe!
Hizo ni hoja za kitoto, maisha hayajawahi kuwa rahisi tangu mwanzo wa ulimwengu. Serekali bado ni mpya, inaweka mipango yake,huwezi kudai imeshindwa wakati ndiyo kwanza inaanza. Utampimaje mtu na kumuamulia arbitrary kwamba kashindwa wakati hana ata miezi sita madarakani?
Lizee lijinga sana
Walisha muambia apeleke schedule ya maandamano ili wayalinde.Za kitoto? Basi mwulize Ruto, Gachagua au genge lao la Kenya Kwanza kuwa hadi hapo kwa muziki ule wanasema je?
Tukutane jumatatu kwa ajili ya nyungu season 2.
R.A.O is so daring!
Halafu hajui pia polisi wa Kenya wanaunga mkono maandamono.Unamsubiri nani aandamane kwa niaba yako? unataka mabadiliko kupitia kwa wengine? bado tuna safari ndefu sana.
Schedule ilipelekwa. Huu ulikuwa ujanja ujanja wa akina Ruto kujaribu kuyazuia.Walisha muambia apeleke schedule ya maandamano ili wayalinde.
vijana wa tz ni wa hovyo kabisa,hawajiamini,wako busy mitandaoni kuunga mkono mafisadi na ufisaji.wanatumiwa vibaya na wanasiasa bila kujua nini hatma yao huko mbeleni.wengine ni maskini wa kutupwa lkn wamerubuniwa na watoto wa familia za kifisadi kuunga mkono ufisadi.Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:
1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.
View attachment 2559513
Mafunzo mengine karibuni tuongezee.
View attachment 2559510
"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana wa hovyo."
Hadi hapo:
"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Hawajakimbia, ni kama vile wameunga juhudu, au wameenda kuchekea chooni.Terrible, polisi wamekimbia!
Anajua anakoipata Nguvu ya kufanya hicho anachokifanya
Alichofanya Uhuru kwa majeshi kabla ya kuondoka haukua mpango salama
Ruto amwombe Mungu sana na asimame kwenye mapenzi ya Mungu
kama watu hawaendi mashambani kulima, au kwenye shughuli zao za kujipatia kipato wako barabarani wanaandamana, maisha yataachaje kuwa magumu? Huyo mzee anafikiria kwa kutumia makalioSchedule ilipelekwa. Huu ulikuwa ujanja ujanja wa akina Ruto kujaribu kuyazuia.
View attachment 2560052
Sasa wanayo ya kudumu (hata wewe unaijua). Kila jumatatu hadi kieleweke.
Ngoja tusubiri visingizio vipya.
ndugu zangu hawatukanwi maana hawakuuwa na kuteka watu.Kwani ndugu zako waliokufa hawaozi?
Ndo maana na mimi lile shoga nimelipuuza mkuu, baada ya kugundua kuwa kila mwanaume anaeingia humu anajipigia tu.Shoga hilo achan nalo mkuu
kama watu hawaendi mashambani kulima, au kwenye shughuli zao za kujipatia kipato wako barabarani wanaandamana, maisha yataachaje kuwa magumu? Huyo mzee anafikiria kwa kutumia makalio
Iko wazi sana, nina elimu yakutosha na akili nyingi. Kama unabisha, jiunge na huyo baba yako muandamaneKwamba wewe unafikiria kwa kichwa ila Raila?
Si uweke japo CV yako hapa tuione ndugu?