Umesikia Ruto, Gachagua au mkenya yeyote akisema pana ukabila hapo? Kalonzo, Karua, Wajakoya au Uhuru ni wajaluo? Ujaluo unaujua wewe Tandahimba huko?Ukabila mtupu. Hapo "lafudhi" ni akina Okech, Odongo, onyau tupu. Kwetu tunabahati ukianzisha timbwili la kichaga dhidi ya wasukuma utakuta wanawake wa kichaga wameolewa usukumani na ma uncle kibaooo. Utatangqza ukuta watu wanakuangalia tu. Kwa hivyo mzee Nyerere alifanya jambo kubwa sana kutuunganisha watanzania. Hawa jamaa hawaendi hata hata kwenye bar, restaurant hata mabasi hawapandi ya kabila pinzani. Hii mbegu huwa haifi.
Success is always built from a list of wishes.wishful thinking
WAAFRICA ni WAJINGA sana.
Mimi kwangu kuandamana ni UPUMBAVU wa Hali ya JUU.
KWANINI USIKAE MEZA MOJA NA UONGOZI MKAMALIZA TOFAUTI???
naamini sana Meza ya mazungumzo.
Duh ! Jamaa yupo vizuri !!Raila halambi asali
Nikiazima maneno ya Mwalimu:Kama nyote mkiwa na nia Thabiti bila janja janja mazungumzo ni njia bora kabisa kabisa !! Maana hata Uhuru wa Nchi hii ulipatikana kwa njia ya mazungumzo tu !! It can be done ✔️ But no janja janja !!
Moi alimshindwa Raila kipindi Kenya iko zama za giza..Raila kaitisha maandamano yasiyokuwa na ukomo kuikomboa Kenya. Malengo yake hayana tofauti na yetu makamanda.
Uwanja wa mapambano Kenya na wetu uko sawa sawa. Sisi tunakwama hapa:
1. Raila anapigana vita hii kama mkenya, siyo kama ODM au Azimio la Umoja.
2. Raila anatumia lugha rafiki akiwaunganisha wakenya kutokea katika magumu yanayowagusa wote.
3. Raila hawanyooshei vidole Kenya Kwanza, mtu au chama chochote bali William Ruto.
4. Raila haondoki alipo kuelekea kwenye maandamano bila kuzungukwa na nyomi ya haja.
5. Raila hahangaiki na wasaliti au vijana wale wa hovyo.
6. Raila amewaandaa watu kufahamu kwenye mapambano kama haya: kukamatwa, kujeruhiwa au hata kufa kumo na hakuna mwenyewe.
7. Raila anapigana huku akiongea pia, ndiyo maana shughuli hii ni ya jumatatu Kwa jumatatu, Hadi kieleweke.
8. Raila yuko wazi mapambano yake ni ya amani.
9. Nk.
View attachment 2559974
Makamanda tuendelee Kuongezea nyama ushindi ni hakika.
View attachment 2559973
Tupigane tukiongea kitaeleweka tu:
View attachment 2559972
Shikamoo Raila Amolo Odinga.
Hawezi kuwa wa maana Kwa Ruto, Gachagua na genge lao. Ila siyo kwa hizi nyomi:Huyu ni mzee wa hovyo sana
Kama first option ikishindikana ! Lakini haiwezi kushindikana kama hakuna janja janja !! (Delaying tactics). !Nikiazima maneno ya Mwalimu:
"If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside."
Hapo ndipo sehemu ya maandamano inapokuja.
Kwakweli nakumbuka Mwai Kibaki ilibidi aapishwe usiku umeshaingia kwa kiwewe !!Moi alimshindwa Raila kipindi Kenya iko zama za giza..
Kibaki akanyoosha mikono, Raila akaongoza upinzani kuipatia Kenya katiba mpya
Uhuru akasanda, akafanya 'handshake' na Raila
What makes Ruto think he can contain Raila?
Ruto, Gachagua na genge lao wamekataa mazungumzo kama first option.Kama first option ikishindikana ! Lakini haiwezi kushindikana kama hakuna janja janja !! (Delaying tactics). !
Issue sio makamanda. Issue ni sisi watanzania. Unafikiri mtanzania ataandamana akitishiwa bomu la machozi? Sisi waoga, period. Naomba waniprove wrong. Nitafurahi.Raila kaitisha maandamano yasiyokuwa na ukomo kuikomboa Kenya. Malengo yake hayana tofauti na yetu makamanda.
Uwanja wa mapambano Kenya na wetu uko sawa sawa. Sisi tunakwama hapa:
1. Raila anapigana vita hii kama mkenya, siyo kama ODM au Azimio la Umoja.
2. Raila anatumia lugha rafiki akiwaunganisha wakenya kutokea katika magumu yanayowagusa wote.
3. Raila hawanyooshei vidole Kenya Kwanza, mtu au chama chochote bali William Ruto.
4. Raila haondoki alipo kuelekea kwenye maandamano bila kuzungukwa na nyomi ya haja.
5. Raila hahangaiki na wasaliti au vijana wale wa hovyo.
6. Raila amewaandaa watu kufahamu kwenye mapambano kama haya: kukamatwa, kujeruhiwa au hata kufa kumo na hakuna mwenyewe.
7. Raila anapigana huku akiongea pia, ndiyo maana shughuli hii ni ya jumatatu Kwa jumatatu, Hadi kieleweke.
8. Raila yuko wazi mapambano yake ni ya amani.
9. Nk.
View attachment 2559974
Makamanda tuendelee Kuongezea nyama ushindi ni hakika.
View attachment 2559973
Tupigane tukiongea kitaeleweka tu:
View attachment 2559972
Shikamoo Raila Amolo Odinga.
Duh !!Ruto, Gachagua na genge lao wamekataa mazungumzo kama first option.
Makwetu wapo waliodai Katiba Mpya si kipaumbele chao.
Si unaona Raila anawapeleka jumatatu kwa jumatatu hadi akili iwakae sawa?
Hata Mbowe na maridhiano ni hivyo hivyo.
Angalizo: hatutavumilia janja janja Hadi kurudi kwa nabii Issa kwa mara ya pili.
Kwa hiyo unataka kusema ukilamba asali unakosa nguvu ya kufanya maandamano?Raila halambi asali
umemoa za usoAcha kufananisha the king Raila na vitu vya kijinga mkuu
Yaani Unanogewa unasema ngoja kwanza 😅Kwa hiyo unataka kusema ukilamba asali unakosa nguvu ya kufanya maandamano?
Ili kiongozi alambishwe asali?? Maridhiano ni ulaya uko, nje ya hapo fita ni fita mura.WAAFRICA ni WAJINGA sana.
Mimi kwangu kuandamana ni UPUMBAVU wa Hali ya JUU.
KWANINI USIKAE MEZA MOJA NA UONGOZI MKAMALIZA TOFAUTI???
naamini sana Meza ya mazungumzo.
Mkuu, hivi wewe, kipo unachokiamini na usichokiamini kutoka moyoni?Raila halambi asali
Inafaa nini ikiwa ana paralyze uchumi, jinga kabisa.Kama retired senior government leader he must know better than that. UselessHawezi kuwa wa maana Kwa Ruto, Gachagua na genge lao. Ila siyo kwa hizi nyomi:
View attachment 2559999