Maandamano yaanza upya - Gen Z's Occupy Everywhere

Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa hii comment yako
 
Nadhani yeye anategemea zaidi jeshi na polis. pamoja na tume
 
Ha
Mimi kama mtanzania natamani kuhamia Kenya kwa kuwa wakenya wameonesha kujitambua kwenye kudai haki tofauti na wtz.safi sana wakenya
Hamia

Kenya ndio nchi pekee Africa Mashariki na kati yenye uchaguzi huru na haki ambao huupati kokote eneo hili.

Kwa wanayofanya hao wahuni wanathibitisha kuwa mtu mweusi ni mpumbavu kupindukia na demokrasia haifai maana ntu mweusi hakubali kushndwa kupitia sanduku la kura.

Kama wao wanaungwa mkono na wakenya wengi wanaogopa nini kusuburi uchaguzi ujao wachukue nchi kupitia sanduku la kura?
Wanachofanya sasa ni kuiharibu nchi yao na pakitulia wataanza uoya kuijenga nchi yao.

Katika nchi hakuna kundi linaloweza kudai linaungwa mkono nchi nzima hivyo ili nchi ikae sawa suala la mazungumzo kati ya makundi mbalimbali halikwepeki.

Kenya hali ikiendeleq hivi kila kabila litajiunga kama kundi dhidi ya kabila lingine na hapo ndio utakuwa mwisho wa kenya. Deputy president Gachagua ameanza kumsihi Uhuru waungane kwa ajili ya naslahi ya wana mlima kenya maana yake wakikuyu; subiri mambo yakolee Mombasa nao warudishe upya lile vuguvugu la kujitenga,

Ila wasiote kukimbilia Tanganyika.
 
Wakenya wanachochewa na watanzania ambao ni key board warriors waharibu nchi yao.

Hawa watanzania ambao baba wa taifa la kenya mzee Kenyatta aliwaita maiti ndio sasa wajifanye kushabikia vurugu za vijana wa kenya? Ya kwao yanawashinda leo wakawe waalimu wa kuwatabiria na kuwaelekeza wakenya.

Watanzania wanachojua ni mabishano ya simba na yanga, orodha ya wapenzi wa wasanii maarufu waliowahi kutembea nao na umbea basi, nje ya hayo hawajui kitu kwa uhalisia wake.

Rutto haondoki madarokani ng'o
 
Sawa mke wa ruto
 
Tunamshukuru Mheshimiwa Dr Ruto kwa kutoa billion 376 Kujenga ukuta soko la Eldoret
 
Kitendo Cha kukubali kurudisha muswada bungeni ni ushindi mkubwa kwa Genz Sasa Ruto anaondoka ikulu muda na WAKATI wowote alifanya kosa kubwa
 
Mimi kama mtanzania natamani kuhamia Kenya kwa kuwa wakenya wameonesha kujitambua kwenye kudai haki tofauti na wtz.safi sana wakenya
Imagine na tozo ya umeme wamejiamulia kupandisha bila taarifa tumenyamaza tu, watizii sisi ni wajinga sana
 

Kinachotokea Kenya kinaitwa class struggle where the not haves fight against the haves. The not haves believe that their problems are caused by the ruling class. Hao mnaowaita gen-z wanatoka katika familia za walala hoi. Huwezi kuta uzao wa akina Raila wfkilandalanda barabarani huku wakipigwa risasi. Bali ni masikini wajaribu kubadili mfumo wa maisha wa nchi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…