mabadiliko yamehusisha wizara nane.Najib balala wa ODM atupwa nje.
Wizara ya sheria-eugene wamalwa
wizara ya nchi za nje-sam ongeri
wizara ya elimu-mutola kilonzo
wizara ya utalii-danson
wizara ya fedha-njeru githae(alikuwa anakaimu)
wizara ya biashara-moses watengula
wizara ya mazingira-chirau makware
wizara ya jiji la nairobi-jamleck kamau