TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Avocados don't get imported or exported through ports wivu utakuuwaMaparachichi ya kutoka wilaya ya SIHA yanapitia Bandari ya Mombasa kwenda kwenye Masoko ya nje na hawa wakenya wanaingiza hizo exports kwenye takwimu zao!!!
Avocados don't get imported or exported through ports wivu utakuuwa
Tanzania hakuna bandari???Hujui unachosema, zile refrigerated containers pale Mombasa port zinapeleka nini?
Njombe, Rungwe, pekee inatosha kuwajibu. kwa sasa tunaexport sana matunda hayo na tunalima kwa wingi sana. kwa habari ya kilimo kenya haitakiwi kabisa kujibishana na tz, tafuteni kitu kingine, labda English ndio mtatushinda sio kilimo.The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year compared to the previous period, data by the Horticulture Directorate shows, buoyed by improved demand in global markets.
Kenya, which is ranked eighth globally in avocado production, exported 26,481 tonnes of the fruit between January and March this year compared to 15,101 tonnes in 2020.
The jump in avocado export volumes between January and March, came as Kenya lifted a ban on the shipment of the produce to markets abroad to curb pre-mature harvests by cartels keen on profiteering from global demand.
The Directorate of Horticulture allowed the resumption of export of the popular Fuerte variety on February 15 followed by Hass on March 8 after close to a four-month ban.
The horticulture regulator had banned the export of the two popular avocado varieties last November to curb the harvesting of the immature crop.
The avocado season for these main varieties normally comes to an end at that time resulting in a shortage of the fruit in the country, pushing up the cost of the commodity.
Kenya currently ships the bulk of its avocados to Europe and the Middle East.
Most of the consignments are currently heading to Europe, which is one of Kenya’s major markets for avocados in terms of returns, with some exported to the Middle East.
A few batches are exported to China as Kenya is yet to meet the conditions set by Beijing to warrant the exports of these fruits in large quantities.
Good returns
The good returns from the sale of the fruit have attracted more Kenyans into cultivating it amid rising global demand.
“There has been an increase in area under cultivation and a shift from the traditional avocado growing zones to the Rift Valley and parts of western Kenya,” the Horticulture Directorate.
Avocado has been a major contributor of the income from the horticulture earnings, raking in nearly half of the total returns from fruits.
Kenya’s avocado exports jumped 15 per cent to 68,000 metric tonnes over the 12 months to October 2020, fetching the country Sh14 billion.
Avocado exports earn Kenya Sh4.6bn in three months
Kenya exported 26,481 tonnes of avocado between January and March this year.www.businessdailyafrica.com
Jamaa mbona donge hilo, tena kiazi chenyewe kikubwa km nazi vile[emoji23]Ila wewe Yoseph umekosaga akili
View attachment 1767231View attachment 1767232View attachment 1767233
Taha inadeal na multiple companies na inaload and offload mizigo kwenye bandari zote za East Africa na Airports zoteJamaa mbona donge hilo, tena kiazi chenyewe kikubwa km nazi vile[emoji23]
Mbona wapitishie kenya hzo za nje na wakati kumbe jnia tayari inasafirisha kwneda netherlands..
Acha ujuha wewe[emoji23][emoji23] tuletee taarifa mzigo wao ukiwa jkia kuelekea netherlands km vile ulivyoleta ke jniaTaha inadeal na multiple companies na inaload and offload mizigo kwenye bandari zote za East Africa na Airports zote
Hii ina maana kwamba Tanzanian companies ni multitasking na ina uwezo mkubwa wa kutosheleza majitaji ya home and away, pesa haisusiwi
Cha nyumbani tunakipiga na cha ugenini tunakipiga
Hujala ambazo zimekomaa ni tamu sanaaAya maparachichi ya upele si matamu ata
Labda kwajili ya vipodozi
Man!! what kind of math is this uñatuaibishaMzee Mimi ni mwanasayansi.
Sitaki maelezo mareefu.
Leta calculation
Mzee mathematics ni vitu viko wazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.
Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B
Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.
May be mathematics hamjui.
😂😂😂😂 Rudisheni huyo jamaa wenu wa IT back to maths class.Man!! what kind of math is this uñatuaibisha
Ungefanya hivi.
Let's say mauzo ya first quarter ya mwaka jana yalikuwa x sasa basi
X+0.93x= 4.26
1.93x= 4.26
X= 4.26/1.93
X = 2.207...... B hayo ndo mauzo ya previous year kwenye quarter one.
IT mbobezi!! Unazingua
Kanishangaza sana hasa pale alipojiita mwanasayansi Na IT mbobezi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rudisheni huyo jamaa wenu wa IT back to maths class.
Huu ni upumbavu. 25 yrs ya ujamaa, imetuathiri kwa upande mwingine. Hii dunia ni ya mapambano, ukilemaa na kulaza ubongo utabebewa mali yako na hata kutawaliwa kabisa. Maendeleo si lelemama. Why tuzalishe sisi halafu major exporters wawe wao!? Maana yake tumelala.Maparachichi ya kutoka wilaya ya SIHA yanapitia Bandari ya Mombasa kwenda kwenye Masoko ya nje na hawa wakenya wanaingiza hizo exports kwenye takwimu zao!!!
Subiri mtaonaSasa si muuze tu parachichi zenu kwenye soko za kimataufa nyinyi wenyewe kama mnajua mnazalisha avocado kwa wingi? Mbona hizi zisababu zimekuwa nyingi hivi?