Kenya wanafanya propaganda chafu kwenye msiba wa Rais Magufuli

They're a a confused gullible bunch. These are the same idiots that believed there was no coronavirus in tanzania because they prayed. It's really mind boggling how they never question whatever their govt tells them.

I sense some sort of Stockholm syndrome condition in them... Same case even to their learned lot.
 
Sio Kenya tu, jana nimeangalia SABC, Aljazeera kote wanaongelea negativities tu. Aljazeera walisema alikuwa ni rais wa "uzinduzi tu" na aliwaaminisha wananchi kuwa "they can pray away the virus"

Mimi siwalaumu hawa watu kwakuwa haya mambo labda alijitakia wenyewe.

Jinsi alivyokuwa ana approach mambo ya msingi katika zama hizi za science na uwazi ni bora hata Homo Sapiens wa enzi za Paleolithic.



 
Hao wadharauni. Yao yamewashinda. Yetu watayaweza? Kwanza angalau wangepambana wakapata uhuru wa bendera kama wetu wakaachana na ukabila na unyang'au. Wakenya–––kama ni ugonjwa–––sisi tuna homa wakati wao wana ukimwi kisiasa. Angalia ukabila. ulivyowatafuna bila kusahau ubinafsi, uchoyo na uroho. Kenya ni wa kupuuzia. Kama ningekuwa rais, siku moja ningewatishia japo nyau.
 
Naona mleta mada ulishakaririshwa unafiki,uzandiki na uongo na Mwendazake. Marehemu hakuwa na jema lolote kwa nchi hii,ukiona kuna jema ujue alilifanya kwa faida zake binafsi. Kuzimu kunamuhusu huyu muuaji.
 
"Mficha maradhi kilio kitamfichua" Nyerere.
 
Ignorance is real. What you was taught abt majimaji rebellion was not all abt that war, ni moja ya vita kubwa duniani, 3 kingdoms of southern Tz, vi wilaya kadhaa kusini Tz, against a strong united Germany, wajerumani wengi waliuliwa waliporwa silaha etc, it's a war that lasted for five years, hiyo technique ambayo huenda ilitumiwa na battalion moja, de one you guys were taught, could not last that long, some teachings are scripted and you get to be taught a narration that will alter your psych, make you feel smart, strong etc or make you feel ignorant and worthless. Wacha niishie hapa. Ukifanikiwa ukafika dsm, nenda national museum, accessible to anyone, you'll learn more and a lot, abt majimaji resistance
 
Tanzania hali ya Covid ni mbaya sana. Imeua hadi Rais.
Iliyo muua Rais wetu ni huo ugonjwa alokuwa nao since 1990's.
Even in his speeches he saw his death coming.
His impacts in 5 years is so much, alifanya mengi mazuri.
 
Kwani waliosema mwamba anachapa kazi walikuwa ni watu tofauti?
 
Stupid guy...an idiot...bila Shaka JF nayo ni ya Kenya...an animal...
 
Stupid guy...an idiot...bila Shaka JF nayo ni ya Kenya...an animal...
Ukweli hampendi kamwe, propaganda imegandisha akili zenu, ukweli hauwezi kuingia![emoji23][emoji23][emoji23]., Yani MK254 kaeleza vizuri yale mliofanya na kuna evidence, wewe unakuja na matusi, ungepinga kama sio ukweli ama ufyate., sio lazima ujibu hoja.[emoji23][emoji23]
 
Soon mama etu akikaa sawa,, ata wapa majibu ya kuzuia mahindi yetu,, tuta wapiga zaidi ya jana,,
 
Waambie mkuu.
 
Sasa kwani vyombo vya habari vya Tanzania vimekatazwa kufanya coverage kubwa ya kifo cha magu?...wafanye tu na wahoji watu wanaohisi watakuwa na maoni positive kwa magu!..sasa unataka kuzipangia media za kenya vitu vya kutangaza?acha utoto!!
 
1.Stiggler's project itakamilika
2. Sgr project itakamilika
3. E.t.c.

MNAOKESHA KUOMBA MABAYA HAMTAKAA MFANIKIWE KUYAONA YANATIMIA.
TANZANIA MBELE KWA MBELE AFE KIPA AFE BEKI CHUMA KISHASHIKA MOTO.
Wakenya wamezoea sana kuitumia Tanzania . Kipindi hiki cha jiwe walifyata sana kazi ualimu ziliota mbawa , umeneja mahotelini mbawa, u ceo kwenye masharika mbawa, ununuzi wa Tanzanite ki holela mbawa nk nk. Hawa jamaa hawawezi kumpenda Chuma hata kidogo. RIP Chuma. Asante sana kwà kutukomeshea nyangaus . Mama Samia endeleza mfumo huo huo mpaka nyangaus waone rangi zote . Shenzi type
 
kwa kifupi mama inatakiwa apige spana mwanzo mwisho mara 10 zaid ya jiwe.Asiwachekee hovyo.
 
Endelea kupiga spana mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…