Half of Tanzanians living in ‘multidimensional poverty’

Nimekwambia post habari ya Kenya. Sio takwimu au list. Kwa taarifa ipi? Leta habari yenye mchanganuo kama hiyo ya Tz. Au Hujaelewa bado? Akili imejaa shonde Eh?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam, kama ilivvo kawaida ya vibwengo wa kimawazo nilitegemea matusi yataanza hivi karibuni. Eti nipost habari za Kenya na sio takwimu wala orodha. Uchanganuzi kwenye taarifa ya mada ni wa IPP Media. We vipi, unataka nikuandikie taarifa kama hiyo? Mimi nimekuletea takwimu walizotumia wao kuandika taarifa yao, kutoka kwa UNDP MPI 2019, zipo za Kenya pia. Bofya link, nenda hadi chini kwenye downloads utaona table 1. Kama huna akili za kuelewa takwimu na data za aina hiyo tokomea vijiweni, ukangonje taarifa ya habari ya saa moja usiku, kwenye stesheni yako pendwa ya TBC1.
 
Good, hapo kwenye mnajisifu na uhuru wa habari basi Leta taarifa kutoka media zenyu yenye mchanganuo wa kuonesha hilo jedwali na asilimia zimepikana vipi na perimeter of the research. Kama IPP walivyofanya kwa Hiyo ya Tz. Hiyo itasaidia kuweza kujua nani anaishi kwenye Umasikini zaidi kuliko mwingine.

Otherwise, keep on wanking with your fellow kunyans here and sooth your ego. Maana hakuna kitu cha kupima relativity between the two states.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waandikie UNDP barua ya kupinga takwimu zao, au ukaandamane. Makao ya UN yapo hata hapa hapa Nairobi. Nimekupa link ya chanzo cha takwimu, mitandaoni kuna taarifa nyingi za wakenya na media za Kenya kuhusu ripoti kama hizi za kila mwaka, kama huna mb kaombe kwa shemeji zako. Hatufanani lakini, mimi mwenyewe nina uwezo wa kuelewa takwimu na data kama hizo 'raw' bila usaidizi wowote wa uchanganuzi au taarifa kutoka kwa wanahabari.
 
Hahah nenda shule uliyosoma ukadai ada yako uliyopoteza. Kwako takwimu ni raw data?

Tufunge Mjadala usije niambukiza ujinga. Halafu hizi nyuzi za battle na interactions between Tz na Kenyan imenifungua Sana. Hadi Sasa nawaza credibility ya elimu yenyu. Ndio maana hata nikikuta medium school hapa bongo ina walimu kutoka Kenya huwa nawasikitikia watoto Sana maana huwa mnawajaza huu ujinga vichwani mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yea, akili kubwa kama wewe umeshindwa kuelewa takwimu na unataka uletewe taarifa ambayo utaisoma kama 'aeiou'? [emoji1] Hadi sasa hivi sijashawishika kwamba umeelewa chochote kwenye taarifa ya mada hii achilia mbali takwimu hizo za UN. Punguza drama jombaa. Ndio hayo hayo ambayo wanayazungumzia kwenye ripoti hiyo ya UN. Elimu yenu duni inawakubalia tu kuenda shuleni kuvunja madirisha na sio kuelimishwa.
 
Geza Ulole is busy opening threads about air but will avoid this reality like the plague. Over half of the Tanzanian population is languishing in multidimensional poverty-the most severe and encompassing extent of poverty.

in Kenya, we are making real change and yes, the food aid goes to vulnerable individuals whose conditions were worsened by the ongoing climatic changes.
 
Kidumuuuu!!! Chama....
Multidimensional poverty, kwa wale msioelewa ina maana umaskini uliosheheni viashiria vyote kwa mpigo ikiwemo afya mbovu, elimu duni, uzembe kazini, mazingira mabovu n.k.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wengine jana nlikua najaribu kuwaelesha lkn walipinga vikali, niliwaletea mpka taarifa za UN wakisema umaskini kenya umepungua, lkn wao bado wanabisha...
Ona kilichowakuta, hata siwaoni hku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😳 The usual suspects are missing in action. The inconvenience of facts! 55%!
 
Wewe punguza kujipendekeza..
 
Multidimensional poverty encompasses the various deprivations experienced by poorpeople in their daily lives – such as poorhealth, lack of education, inadequate living standards, disempowerment, poor quality of work, the threat of violence, and living in areas that are environmentally hazardous, among others.
 
Hii hapa ndio kigezo kamili ya capture the real economic situation on the ground. Tanzania leo mumefumaniwa peupe! Wachana na sisi with our slums, Turkana na Al Shabaab, tutafanikishwa na Maulana. Nyie ji sort.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…