Demu ya Kenya vs demu ya Tanzania

maskinini...naanza kushuku uwezo wako wa kufikiria....
"tanzania popote uendapo kuna warembo"walisikika walevi flani wakisema walipokuwa katika mkutano wa ccm wakipiga cha mtume
Ccm imeingiaje hapa mkuu ngoja wenye chama chao waje halafu nina wasiwasi tayari ushakula MILUNGI, kichwa yako haiko Sawa.
 
duh..hv unamaanisha ulikaa miezi sita runda ukawajuwa watu wote..na ilhali wenyeji wa runda hawajuani wote...watanzania jamni...ama ilikuwa wala ma mboch...

heheeee..yani runda ukae miezi sita ujuwe wanawake wote...maskini..kweli kuzaliwa tanzania huez kosa ulemavu wa akili
 
Ccm imeingiaje hapa mkuu ngoja wenye chama chao waje halafu nina wasiwasi tayari ushakula MILUNGI, kichwa yako haiko Sawa.
usijali mtu wangu...yani hapo ulipo unajipiga kifua unaijuwa kenya yote na kuwajuwa wanawake wote wa kenya..na wote mrembo ni mmoja...kweli vyuma vimekaza
 
Kuna baa zipo runda na sehemu zingine za starehe ndipo unapowaona watu wa mtaa husika, ila pia supermarkets za mitaa ile na shopping centres za eneo husika zinakufanya ukutane na watu wa mitaa husika. Unafikiri tunagonga mageti nakuomba jufahamiana. Una uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kufaamiana na watu nikwenda ndani kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwhyo hzo bar haziingii watu wa kutoka maeneo mengine...alafu unataka kunihakikishia mdem wote wa runda huingia hzo bar hzo super markets...

hzo bar ulipata vikware vya university na wanawake wenye matatizo yao wameenda hapo bar kutegeshea ma sponsor....wewe kubali tu ulipata vikware vynye vimechoka na maisha...
 
ndio ukwel huo...kila mtanzania ana ulemavu wa akili...mwenzako huyo kasema kenya kuna mrbo mmoja pekee...je wewe unalichukuliaje hilo swala
Kama amesema ni yeye bro usiseme watanzania mbona unamatusi ya jumla.na sisi tunayajua ila tunaheshimu taratibu kama nyie hamna akili na aliye kujibu msijumuishe mataifa its matter of individual and not nation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK ngoja nikubali tu. So unamaanisha wanawake wanaojiuza Kenya ni wabaya sana , je hao wengine watakuaje sasa?sasa kama wanaojiuza kiuhalisia ndo wanaokua wazuri sana. Unaposema wengine wanakua wanafunzi wa vyuo so unamaanisha wanachuo Kenya hawana mvuto kabisa. Na unaposema bar zinawatu wa maeneo mengine ndo maana niliona wabaya. So watu wa maeneo mengine niwabaya ila wa runda ni wazur. Hahahaa daah I'm nijibu vizur . nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hayo ni maswali nimekuuliza wewe...unatakiwa uyajibu...je hzo bar kunaingia wato wa runda pekee...na hapo kw urembo ni maoni...nilikuwa nataka nikukakamte na kauli yako ya urongo eti unawajuwa watoto wa runda....

nilijua huwezi toka na mtoto wa runda...kw sababu wewe sai upo dar kijiweni umetulia tu na runda unaisikia vijiweni...sasa unaanzaje kutoka na watoto wa runda...anza na amber rutty kwanza kw sababu niwa hko hko kumpata ni rahisi...alafu ile siku utapata fursa ya kuja kenya...watoto wa runda utawapata...bora upate location zao tu..ila kw sasa usije nenda kasajili kiwanja chako kwanza...
 
hayo ni maswali nimekuuliza wewe...unatakiwa uyajibu...je hzo bar kunaingia wato wa runda pekee...na hapo kw urembo ni maoni ya mtu husika....so sijui levep zako za kujua uzuri machoni mwako ni ailimia ngapi...nilikuwa nataka nikukakamte na kauli yako ya urongo eti unawajuwa watoto wa runda....

nilijua huwezi toka na mtoto wa runda...kw sababu wewe sai upo dar kijiweni umetulia tu na runda unaisikia vijiweni...sasa unaanzaje kutoka na watoto wa runda...anza na amber rutty kwanza kw sababu niwa hko hko kumpata ni rahisi...alafu ile siku utapata fursa ya kuja kenya...watoto wa runda utawapata...bora upate location zao tu..ila kw sasa usije nenda kasajili kiwanja chako kwanza...
 
Kiswahili chenu ni kigumu, kama walivyo mademu zenyuuuuπŸ˜‰.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…