Catherine Kariuki, Mwanahabari aliyepigwa risasi na polisi ameruhusiwa kwenda nyumbani.

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Mwanahabari wa kampuni ya MediaMax inayomiliki K24 na Milele FM, Catherine Wanjeri Kariuki, ameruhusiwa kuondoka hospitali leo baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mguu wake uliopigwa risasi kwenye maandamano ya #RutoMustGo jijini Nakuru.

Catherine ambaye alikuwa kazini akiripoti mubashara kuhusu maandamano aliopigwa risasi mbili kwenye mguu wake wa kushoto.
 

Attachments

  • 20240716_163918.jpg
    162.7 KB · Views: 4
Yaani habari za matukio ya maandamano yamechukua uwanda mpana sana, kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…