Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 93
- 238
Mwanahabari wa kampuni ya MediaMax inayomiliki K24 na Milele FM, Catherine Wanjeri Kariuki, ameruhusiwa kuondoka hospitali leo baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mguu wake uliopigwa risasi kwenye maandamano ya #RutoMustGo jijini Nakuru.
Catherine ambaye alikuwa kazini akiripoti mubashara kuhusu maandamano aliopigwa risasi mbili kwenye mguu wake wa kushoto.
Catherine ambaye alikuwa kazini akiripoti mubashara kuhusu maandamano aliopigwa risasi mbili kwenye mguu wake wa kushoto.