Binafsi ninawapongeza Vodacom, KCB, TFF, wachezaji na wadau wote walioandaa na waliopata zawadi za VPL kwa msimu wa 2019/20.
Lakini sio vibaya pia sisi wadau watazamaji, wasikilizaji na wafuatiliaji wa mpira wetu nchini hasa VPL kuzijadili zawadi na kuwajadili waliozipata.
Je, waliopewa zawadi...