Ukifanikiwa kumshawishi mwenza wako siku ya leo mkatoka kwenda kusalimia wenye uhitaji mahospitalini hata vituo vya wenye uhitaji mtakuwa mmefanya jambo litaloishi mioyoni mwa watu na machoni pa Mungu hata milele.
Mimi huku mambo bado hayaeleweki. Demu lenyewe linajishebedua.
HAPPY VALENTINE...
Kwa 95% mwanaume atamwacha mwanamke wake iwapo mwanamke huyo ataacha kumpa mwanaume unyumba.
95% ya wanawake wanawaacha Wanaume zao pale Wanaume zao wanapoacha kuwapa pesa. .
5% ya wazazi hawawakubali wapenzi wa watoto zao .
Anayekwambia "sitaweza kuishi bila wewe" ataendelea kuishi maisha yake...
Wiki yenye amsha amsha zake imeanza, vipi huko kwako mambo yanasomaje?
Ushaagwa ana safari ya kikazi wiki hii?
Ushaanza kutengenezewa mazingira ya minuno na kuambiwa “usinipigie, I need some space”
Yupo akupendaye na una uhakika wa kupata kizawadi au muamala.
Bado hakijaeleweka, tutajaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.