Wakuu,
Kiongozi wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, amemtaka Rais William Ruto kujiuzulu kufuatia wimbi la hivi karibuni la utekwaji nyara, likiwemo tukio lililomhusisha Waziri wa Huduma za Umma, Justin Muturi, ambaye mwanawe alitekwa na baadaye kuachiliwa.
Muturi alieleza kwamba mwanawe...