Hatua hiyo inafuatia baadhi ya Wabunge kuwasilisha hoja kwa Spika Moses Wetang'ula wakidai baadhi ya Sheria ziko kinyume na Katiba na hazina idhini ya Bunge.
Pia, Wabunge wamewatuhumu Mawaziri waliopita kwa kutunga Kanuni ambazo zimekuwa Kandamizi, wakisema hazikufuata mkondo sahihi kabla ya...