Katibu mkuu wa Wizara ya Sanaa amewataka Wasanii nchini kufanya mambo makubwa kama Filamu ya Royal Tour inavyoitangaza Tanzania duniani Kote
Aidha Msigwa amesema wimbo wa Diamond uitwao Kamasova unafanya vizuri sana duniani kote
Msigwa amewataka Wasanii nchini kuwaiga Diamond na Kanumba katika...
Sekta ya Utalii imerejea tena kuwa Kinara wa kuingiza Fedha nyingi za Kigeni Kufuatia kuporomoka kwake miaka 4 iliyopita.
Kwa kipindi chote hicho sekta ya Madini hasa dhahabu ndio ilikuwa inaiokoa Nchi kwenye Suala la Fedha za kigeni.
Kurejea Kwa Utalii ni ushahidi na Ushindi mkubwa Kwa The...
Wageni wanaotembelea Banda la Tanzania katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii yanayoendelea nchini Japan wakiangalia Filamu ya "The Royal Tour"
Tanzania imetumia Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Japan (Japan Tourism Expo) yanayofanyika nchini humo kuanzia tarehe 22 – 25 Septemba 2022 kuzindua...
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni nyota wa filamu ya Tanzania The Royal Tour ameahidi kuja na filamu nyingine itakayoitwa The Hidden Tanzania.
Rais Samia amesema filamu hiyo italenga kuonesha vivutio ambavyo havikuonekana katika filamu yakwanza...
RAIS SAMIA AKISHIRIKI UZINDUZI WA FILAMU YA THE ROYAL TOUR - JNICC, DAR ES SALAAM
Tulianzia Marekani kwa kuwa utalii uliathirika na COVID na watalii kutoka Marekani walipungua.
Sekta ya Utalii inaajiri 4% ya watanzania na iliathirika sana wakati wa COVID19.
Rais Samia. Filamu ilikamilika...
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.
Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo...
Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.
Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani Kilimanjaro, leo asubuhi.
Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.
Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la...
Ni mwezi wa royal tour (jina haliakisi Utanzania)
Bado tuna safari ndefu kujinasua kwenye makucha ya mabeberu, lakini hili si hoja yangu kwa leo.
Wabongo tuna tatizo sugu na lazima tuliseme hapa wazi na hili ni tatizo mpaka kwenye mamlaka zetu Rasilimali watu hatuipi kipeumbele hata siku moja...
"Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
Tunaambiwa kwamba filamu ya Royal Tour yenye kupromote Utalii imegharimu Shilingi za Kitanzania Bilioni tisa. (9).
Leo tunaambiwa Rais ana safari ya kikazi yeye na delegation yake marekani na moja wapo ya mambo atayoyafanya ni kuzindua filamu ya Roya Tour.
Kwakua hizo kazi nyingine atazofanya...
Habari za leo, nilikuwa napiga story na mwingereza mmoja ambaye amewekeza kwenye sekta ya utalii hapa nchini hususani katika hoteli za kitalii, tulizungumza mengi kuhusu utalii nchini Tanzania.
Nilipo muuliza kuhusu namna alivyojipanga kupokea lundo la watalii baada ya filamu ya Royal Tour...
"THE ROYAL TOUR" official trailer
Video hii ni utangulizi rasmi (official trailer) wa filamu ya kihistoria ya "THE ROYAL TOUR" ambayo Rais wetu Samia Suluhu
Hassan ameshiriki akiwa Mwongozaji Mkuu kutangaza Utalii, Uwekezaji na Nyanja nyingine mbalimbali zikiwemo za sanaa na
utamaduni wetu...
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika moja ya ziara zake kurekodi The Royal Tour, 2021
Tumesikia na kuona Rais Samia akiwa katika kile kilichojulikana kama The Royal Tour, lakini huenda kuna baadhi yetu hatujaelewa ni kitu gani hiki.
Wapo wanaodhani Rais kajitungia jina na kutafuta wapiga...
WEDNESDAY SEPTEMBER 08, 2021
President Samia Suluhu Hassan is now spending over a week's time in preparation of the most awaited documentary that explores the finest attractions of the country's sites.
Equally hit by the Covid-19 pandemic since late 2019, that has seen world's traveling and...
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan zinazosambazwa mitandaoni zikimwonesha akiwa kwenye vivutio mbalimbali vya utalii, sio rasmi na hazina kibali cha serikali. Wizara imewaonya wote wanaohusika na kuwataka waache mara moja.
THE ROYAL TOUR KUPAISHA UTALII NA UCHUMI WETU WA TANZANIA
Heko kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuongoza na kurekodi kipindi Maalum cha The Royal Tour kuonyesha vivutio vyetu vya utalii,utamaduni wetu pamoja na vivutio vya Uchumi katika Taifa letu...
Amani iwe nawe Mama yangu!
Kwanza napenda kukupongeza kwa hii creativity kubwa uliyokuja nayo ya kushiriki na kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia kupitia program maarufu ya “The Royal Tour”
Program hii kwa ufahamu wangu imezinyanyua nchi nyingi sana katika sekta ya Utalii na Uwekezaji Mf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.