physics

  1. Kichuguu

    Mtaala wa A-Level Physics

    Kitabu nilichotumia A level Physics ni hiki hapa, na tulikimaliza chote ndani ya miaka miwili. Ninatafuta kitabu cha Physics A level kinachotumiwa leo sijafanikiwa kukipata; mwenye kopi yake anisaidie. Ninajua kuna topics ambazo zimeshiptwa na wakati, kwa mfano zile za Cathode Rays na Thermionic...
  2. C

    Kwa wale wa physics hapa tunafanyaje?

    Kwenye hiyo roman yenye figure 1
  3. Myahudi Jr II

    A ya Physics/Math haina Umuhimu kwa "Kingereza hakipo"

    Wasalaamuu.... Dunia inaenda kasi sana, Makosa yalifanyika kufanya "KIIGNILISHI" kuwa lugha ya dunia, Hii inaumiza sana watu ya dunia ya 3 hususani Wananchi wa Kizimkazi. Juzi niliona "Twita" madaktari wamechachama wanadai pesa ni ndogo wanayolipwa "it might be true" ila nikajiuliza "Dakitari"...
  4. MamaSamia2025

    Mwalimu wa Physics na Maths anahitajika

    .
  5. mrPhysics

    Where can I work as a part time/ full time PHYSICS tutor?

    Hello everyone, Where can I work as a part time physics tutor (family student mentor to school at large) I'm very competent physics candidate with good moral, charming and high sense of humour currently located at Dar es Salaam Incase a parent want a physics coaching to their children or...
  6. Cecil J

    Tatizo la ufaulu duni wa masomo ya Mathematics na Physics bado halijaeleweka!

    ...
  7. General Nguli

    Najilaumu sana kutokuchukua masomo ya Science, hasa Physics na Chemistry

    Habarini wa Kuu, Nina imani wazima Mungu ana tubariki mpaka sasa na tunaendelea vyema na majukumu yetu. Kutokana na kasi ya mapinduzi ya Science hapa Duniani nimekuwa muhanga hasa nikiwa na fuatilia vipindi mbali mbali. Wakati nikiwa nasoma nlikuwa mpiga Debe mzuri wa Masomo ya Sanaa. Ushauri...
  8. F

    Walimu wa sekondari wanatafutwa, wa masomo ya Hisabati na Sayansi Biology, physics na Chemistry (Part time)

    Habari wadau. Binafsi ni mmiliki wa app ya kufundisha tution za masomo kwa njia ya mtandao Ninatafuta walimu wenye uwezo mkubwa wa kuelewa na kufundisha masomo ya o level. Na shule ya msingi somo la hisabati. Masomo hayo ni hisabati, physics, chemistry na biology only. Kazi ni part time...
  9. carnage21

    Bachelor of science in chemistry and physics

    Habarini wapendwa,kuna dogo langu kapangiwa hii kozi hapo UDSM,naomba kujua ipoje na hawa watu wanaajiriwa kama walimu au vipi?
  10. Jamii Opportunities

    Physics Teachers (A – Level) at School of St Jude

    Position: Physics Teachers (A – Level) Location: Usa River, Arusha Who are you? A highly-motivated teacher with excellent attention to detail, who loves working with students and can facilitate a holistic learning curriculum. You are able to develop, monitor and evaluate lesson plans...
  11. og master plan

    Unaweza kujisajili kufanya mtihani wa kidato cha sita huku unatafuta credit moja ya O-level?

    Wadau naomba kuuliza. Unaweza kujisajili PC ya five na six kwa mwaka mmoja na wakati huo huo umejisajili kutafuta credit ya physics? Olevel?
  12. B

    Huu ufaulu kidato cha nne nisome tahasusi gani?

    Nina division 2.21, nina grade C masomo yote isipokuwa nina D ya Physics na F ya Math. Je, nikasome combi gani Advance?
  13. mwasakujonga-

    Nafundisha physics, natafuta kazi

    Habari za wakati huu ndugu walimu na Watanzania wenzangu, Naitwa Mwl. Emmanuel, naomba kama kuna mtu anafahamu shule yoyote inayohitaji mwalimu wa masomo ya physics na chemistry, advanced level & na o'level anijulishe, nipo tayari kufanya kazi kwa weledi na ufanisi ili kufikia malengo ya...
  14. Mkurugenzi Wa Mashirika

    REF: Application for Physics and Chemistry teaching position at your school

    Dear Headmaster, REF: Application for Physics and Chemistry teaching position at your school. I am writing to express my strong interest in the physics and chemistry teaching position at your esteemed school. As a highly qualified and dedicated teacher, I am confident that my skills and...
  15. Prakatatumba abaabaabaa

    Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

    Au mwalimu mpwayungu village unasemaje? Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi. 1. PHYSICS A - 0.4% (2,519) B - 0.77% (4,874) C - 4.73% (29,851) D - 12.30% (77,586) F - 81.79% (515,734) 2. MATHEMATICS A - 1.96% (12,389) B - 1.35%...
  16. S

    Physics kwa ujumla kitaifa form wamefauluje

    Nauliza hivyo maana kila mwaka hili somo huongoza kufelisha students. Je nikitaka kupata overall performance ya Physics nifanyeje?
  17. BakalemwaTz

    Matokeo ya Necta kidato cha pili ya mwaka 2022 yanatoka lini?

    Kumekua na maswali Mengi juu ya kutoka kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha pili mwaka huu 2022. Kidato cha nne walifanya mtihani wao mapema mno mwanzoni mwa mwezi November. Kwa mwaka jana matokeo yalitoka tarehe 15 mwezi January kitu kilichofanya tuone yametoka mapema. Kwa mwaka huu yawezekana...
  18. ajent45

    Natafuta kazi ya ualimu wa shule binafsi kwa masomo ya Physics na Mathematics kwa ngazi ya O-level

    Habari zenu wa ndugu, Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa dar kwa mkataba wa kujitolea na malipo madogo ya posho. Nina ujuzi wa kutosha wa kuwapa watoto...
  19. Afrocentric view

    Mgote physics anakariri vitu, haelewi

    Nilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama Mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics. Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo. Kinachombeba Mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri...
  20. Myahudi Jr II

    Watabe wa Physics naombeni msaada haya maswali chap chap, sijiamini na majibu

    Note: Swali la 3 nishagugo nikapata
Back
Top Bottom