OFFER KUBWA YA PHOTOCOPY MACHINES
Ndugu zangu changamkieni offer hii mapema hasa kwa wale wenye stationary au
wanaotaka kuanzisha biashara hio...hizi machine ni nzima zilikuwa kwenye office mahali, hiyo office imefungwa kwasasa kutokana na kukosa usimamizi wa uhakika.
Machine zipo Dar es...
Njoo na bei yako tuyajenge.
Call:-
+255712302556
+255684240927
Hii fursa ni ya leo tu, simu na zianze kuita kwa ajili ya ukaguzi wa bidhaa na MANUNUZI.
Huduma za Printing, Scanning, na Photocopy kwa Wanafunzi
📢 Wanafunzi wa Vyuo Mnakaribishwa! 📢
Unahitaji huduma za haraka na nafuu za stationery? Karibu Dodoma Mjini kwa huduma za:
✅ Printing za miradi, makala, na nyaraka mbalimbali
✅ Scanning ya hati muhimu kwa ubora wa juu
✅ Photocopy ya haraka...
Tunauza Photocopy machines Canon Ir 2525i Used
Bei ni 2,500,000/- kwa moja
Tupo Zanzibar, tunaweza tuma Dar na hata mikoani ila gharama za utumaji zitakuwa juu ya mnunuzi.
Photocopy canon ir 1435 image imagerunner inauzwa
NI Black and White
Inatumia Flash
Double slide
Inatoa copy,inascan
maximum size A4,Inatumia wino wa powerd
Ina bypass tray,ina network port na ethrnet
Bei 1,000,000
Simu 0753 215812
Mazungumzo yapo!
Nauza Printer 🖨 ya Epson L850
Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia
Tsh 900,000
All in one printer
Print,copy,scan
Six color eco-tank
Colored printer
Quality 💯
Napatikana Dar, Mbweni
WhatsApp/Call/SMS 0653 083 000
Mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro Salim Alaudin Hasham amesema atahakikisha anapambana kutatua changamoto ya vifaa vya mashuleni ili kuinua kiwango cha ufaulu wilayani humo.
Mbunge Salim ameyasema hayo wakati akigawa vifaa hivyo ambavyo aliahidi kwa shule tatu zitakazo fanya vizuri...
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, Dkt Florence George Samizi ameendelea na ziara yake ya kufanya mikutano ya hadhara kuelezea utekelezaji wa Ilani ya CCM ambapo leo alikuwa Kata ya Misezero Kijiji cha Kumkugwa.
Wananchi wa Kumkugwa wameonyesha kufurahia mno na kumshukuru Rais Samia...
Maafisa utumishi hii sio sahihi ...sina mshahara natafuta chakula Leo nikatoe kopi kibao.?
Open performance haiwezi Kwa kumtesa mtumishi kumuongiza gharama za ajabu ajabu.
Piga nakala 4 x opras 1 =700*4
Wakuu nilifungua ka stationery kadogo nikamuacha binti, photocopy machine ni canon iR2016 I.
Ilikua inapiga kazi vizuri tu nikiiconnect kwenye desktop, sasa binti amenipigia simu kwamba, imezingua desktop inashindwa kuisoma photocopy machine.
Nimeenda nimejaribu kila njia ku-install drivers...
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the photocopy paper A4 to “The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their tenders for the supply of the said item.
For more details, see the attached document.
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
Nauza Printer Epson L805 imetumika mwaka mmoja tu. Inaprint sticker na picture vizuri na haibaguwi karatasi. Pia inaprint CD. Printer hii haina tatizo lolote kabisa. Inapatikana Mwanza Nyamagana Barabara ya Balewa karibu na Nyanza Shule ya Msingi. Bei ni 350,000 Tsh. Picture zake ziko chini...
Nauliza wapi wanapotoa Copy kwa bei rahisi DSM Tshs 30 mpaka 25.
Nasikia maeneo ya karibu na taasisi za kielimu i don't have ideas anapajua anipe Address.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.