Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
nimetoka kusema hata dakika 5 hazijaisha, huyo hapo kachagua lumande ya mpaka siku ya kuzaliwa yesu mwezi wa 12 trh 25. Kabla ya jogoo hajawika na kweli!!!
Usiku mwema ndugu zangu
Wala nisingepepesa macho. Ningechagua kuwa Mtume Muhamad. Tabia zangu na zake zinaendana sana. Napenda sana maisha ambayo aliishi kutokana na tabia zangu.
Maisha ya Yesu Masihi yalikuwa magumu sana na ya kubore. Hayakuwa na chereko chereko, hakuwa aki enjoy life.
Mimi ningeamua kuishi kama...
Makala Iliyopita:
Baada ya kuona kuwa Carbon-14 inathibitisha umri mdogo wa Dunia kwasababu ya:
1) Kupatikana kwa Carbon-14 kwenye mabaki yaliyo kwenye miamba inayodaiwa kuwa na mamilioni ya miaka (Carbon-14 haikupaswa kuwepo).
2) Kupatikana kwa Carbon-14 kwenye makaa ya mawe yanayodaiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.