Waziri wa Mambo ya Ndani, Profesa Kithure Kindiki, ametangaza kuwa Serikali itakushughulikia polisi na wahusika watakaopatikana na hatia ya madai ya kuteka watu kinyume na sheria kipindi cha Maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha 2024
Waziri Kithure alisisitiza kwamba vyombo vya usalama vina...
Idadi ya waliojeruhiwa katika maandamano ya kupinga serikali yanaendelea kuongezeka, huku watu wengine 35 wakilazwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta na majeraha ya risasi na majeraha mengine tofauti siku ya Jumanne.
Uongozi wa hospitali unasema idadi inatarajiwa kuongezeka usiku kufuatia...