Elijah Mwangi Muthoga, alikamatwa Desemba 2021 akiwa na lita 11 za mafuta ya transfoma ambayo yalikuwa yakitumika kupika chipsi kwenye Hoteli yake na pia kupakiwa tena ili kuuzwa kama mafuta ya kupikia ya popcorn
Aliuziwa mafuta hayo na Zachary Mwangi Gitau ambaye amehukumiwa kifungo cha Miaka...