Hapa ni uringanisho wa Kisiwa cha Mafia na Maldives.
Ukumbwa
Mafia -435 KM2
maldive -300 KM2
UCHUMI
MALDIVES -6 Billion za kimarekan
MAFIA -0 (no data/Hawajafanya tathmin)
SHUGHULI ZA UCHUMI
MAFIA-Utalii
Maldives -Utalii
Tanzania inashindwaje kukifanya kisiwa cha mafia kama maldive wakat...
Naomba kujua kiundani kisiwa Cha Mafia.
Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya hicho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc.
Vipi gharama za maisha zikoje? Na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini?
Je mitandao ya simu...
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
[
LOCATION:-
Mafia ni kisiwa kilichopo ndani ya bahari ya hindi,kina jumla wakazi 46,000 kwa sensa ya 2012.Kinapatikana katika mkoa wa pwani.
Kutoka jijini Dar es salaam, kuna njia tatu kuu
1.Usafiri wa majahazi (kisiju)
2.Usafiri wa boti (nyamisati)
3.Usafiri wa ndege (JNIA)
WAKAZI WAKE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.