Ana mataji kadhaa ya champion league Africa CAF
TUZO YA MCHEZAJI BORA WA NDANI AFRICA
Mfungaji Bora wa CAF
Kucheza team kadhaa ulaya
Best in scoring,dribling skill , shooting nk
Hakika uyu mtu tumsifie kabla hajafariki
Kipaji haswa
🚨 NEW WORLD RECORD!
In Barcelona, Jacob Kiplimo has shattered history, becoming the first human to break the 57-minute barrier in the half marathon!
He blazed through 21.1 km in an astonishing 56:42 (averaging 2'41"/km) 🤯
His jaw-dropping split times:
5K: 13:34
10K: 26:46
15K: 39:45
20K...
Chukua hii Pele na diogo hawakuwahi kushinda izo tuzo wakicheza Wala hawakuwahi kushindanishwa
But PELLE honored a ballondor 2013 na alipewa tuzo 7 kwa pamoja za heshima tu
MARADONA alipewa tuzo mwaka 1995 kama sikosei iliitwa the GOLDEN BALLONDOR
Pele alipewa 7 na zikawekewa miaka tofauti...
Utalii Tanzania na Afrika
Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Tanzania na nchi nyingi za Afrika. Katika Tanzania, historia ya utalii inarudi miongo kadhaa nyuma, na inajumuisha vivutio vya asili kama mbuga za wanyama, milima, na maziwa. Ukweli kwamba Tanzania ina vivutio kama vile Mlima...
Kipindi Cha likizo hiki hasa kwa advance kujiandaa kuingia form 6 na kuingia form 5 mzazi au mlezi niite nikufundishie mwanao akiwa hapo hapo nyumbani kwa bei nafuu kabisa ,nipo Dar mbagala kwa wakazi wa kijichi,mbagala kuu, mgeninani,vikunai pote nafika.
Nichek 0749442229 au WhatsApp 0744983130
Disaster za majengo kuanguka duniani..the worst 10
The sudden, terrifying collapse of huge buildings has caused countless tragedies throughout history, highlighting the importance of sound, safe and ethical engineering. Seemingly rock-solid structures all over the world have cracked, split, and...
Hii ni story iliyotokea enzi hizoo kabla ya Kristo, kipindi hicho superpower ni Muajemi na Mgiriki uhasama mkubwa baina yao ulileta vita vingi.
Na Katika vita vyao, kuna kisa kimoja nishee nanyi, ilikuwa hivi siku moja kabla ya mtanange majenerali wa Uajemi ( Iran ya sasa) wakatuma makachero...
More people worship this demons- Baal and Moloch now than at any time in history.
Most don't know they worship them, but they are the god's of Ego, of more material possessions and worldly power.
If the only things that matter to your mind and soul are riches and power, then you worship these...
Habari wanajukwaa mnaendeleaje na kujenga taifa?
Kuna uzi mmoja nimesoma asubuhi hii nimecheka mno kuhusu search histories za watu kwenye simu zao. Kuna histories za mambo ya ajabu ambayo mtu mwingine akiona anashangaa kumbe fulani huwa hivi.
Wengi huwa wanasearch vitu mbalimbali kama mpira...
Yani unakuta dogo wa form 1 au 2 ameshakalili dance moves zote za chino lakini ukimuuliza hivi unamjuaje hitler eti anakuuliza "hivi aliimba wimbo gani vile" ahah
Sio kila mtoto atachukulia yaliyomo kwenye tv ni burudani tu mwingine anachukulia kama inspiration ya lifestyle yake.
Anyway sio...
Binafsi, nimekuwa nikijiuliza, Mfano uvamizi ule wa Idd Amin Tanzania ungeisha kwa Idd Amin kuvishinda vikosi vya Tanzania, hali ingekuwaje? Leo 2024, tungekuwa na nchi ya Namna gani kisiasa, kijamii na kiuchumi? Tungekuwa na kanda ya ziwa sehemu ya Uganda?
Au Tanzania yote ingekuwa ni sehemu...
Many people are thinking wrong that Africa has no history However, historical and archeological studies have proven that Africa has a richer and greater history than ancient historians have tried to have us believe.
1. The human race is African descent. The oldest known skeletal remains of...
Dear JF members,
Sometimes the things which had been "will be" meaning repeated
what happened in history could be repeated .
Lets peruse this document concerning our World to come in the concept of giving an eye on New World Order.
P'se go through the attached document to get the whole idea...
Position: History and Kiswahili Teacher (O-Level)
About us
The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. Every year we give 1,800 students with free, quality education, 100’s of graduates with access to higher education and provide more than 20,000...
BIBI TITI MOHAMED KATIKA KITABU CHA JIM BAILEY "THE HISTORY OF JULIUS NYERERE"
Nilimfahamu Jim Bailey kupitia kwa Ally Sykes alikuwa na mswada wa kitabu cha picha: "Tanzania: "The Story of Julius Nyerere," na alikuwa anatafuta mhariri wa kitabu hicho.
Ally Sykes akanikutanisha na Jim Bailey na...
Iran was not a Muslim country.
Iran i.e. Persia, was Zoroastrian country in 600 BC year. Persians or Parsi people migrated to India (Tatas are Parsi from Persia). Main religion of Iran was Zoroastrian.
1) In 600 BC year, Zoroastrian religion existed in Iran (Persia).
2) In 1 AD year...
Nimefanikiwa kupata Bachelor of Education, hivyo basi kwa yeyote mwenye uhitaji au connection itakayoniwezesha kupata kazi ya kufundisha au inayoendana na taaluma yangu.
Naomba kutanguliza shukrani.
It is 1984. President Thomas Sankara moves to change his nation's name from the Republic of Upper Volta to Burkina Faso 24 years after freedom from French rule. This name change gives way to new public images like the song of devotion, maxim, and banner (all the more later).<br>
He made another...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.