Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks.
Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu...
Mkuu The bump
Tunaomba utoe ufafanuzi wa vifuatavyo
SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Tunaomba maelezo yaliyojitosheleza maana nimefanya km...
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.
laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.
nimeona speed ya pc imepungua si kama...
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana.
-> Kioo kina ukubwa wa inchi 15.6
-> RAM ni 4GB
-> Hard disk yake ni 500GB
-> CPU ni duo core ya 1.6Ghz
-> Kipengele chake ni betri tu (betri imekufa lakini inapiga kazi freshi ikichomekwa waya wa kuchajia)
->Bei...
Habari naweza tumia internal HDD ya laptop kwenye desktop kama extenal HDD?
Nina dell optilex 7020 core i7 je naweza kuongeza internal HDD 2TB na isilete shida maana nimesikia hdd kubwa zinaua cpu
Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition.
Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal
70,000/=
location:Dar-es-salaam
wa.me.255716889489
Habari,
Zipo external za transcend, used but in mint condition.
2TB kwa 100,000 FIXED
3TB kwa 200,000 FIXED
Call 0712198128
Call 0712198128
Call 0712198128
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
Habari za Musa huu wadau,
Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata ukipiga Window ukifika maala ya kuchagua disk ipo empty.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.