Msanii kutoka Nigeria asake, alifunguka hivi karibuni kuhusu kitendo cha msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz kuiga staili yake ya mtindo wa nywele pamoja na staili yake ya kuimba Baadhi ya nyimbo.
Msanii huyo amedai kushangazwa sana na kitendo hicho cha msanii Diamond Platnumz,
Mpe neno...