UDOGONI DAR ES SALAAM 1960s
Kila nipitapo Maktaba hukutana na picha zinazonikumbusha mengi.
Picha hii alinipa Abdallah Mgambo miaka mingi ilioyopita.
Ilipigwa kwenye picnic mwaka wa 1965.
Kulia ni Adam Kingui, Abdallah Mgambo na Kleist Sykes.
Hawa wote walikuwa wanafunzi wa sekondari.
Adam...