Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza Agosti 29, 2022 kuwa tarehe mpya ya uchaguzi ulioahirishwa kutokana na sababu tofauti ikiwemo kukosekana kwa majina ya wagombea katika karatasi za Kura
Vile vile, Tume hiyo imewaruhusu Wagombea wanaowania nafasi mbali mbali katika maeneo hayo...