Salamu kwenu.
Binafsi yangu bado sijanunua gari, ila huko mbeleni nitanunua. Biashara yangu ikiwa imesimana.
Nimeona sasahv vijana wengi sana mafanikio yao ni magari ya kifahari na ya kustunt kwa convoy kubwa pale wanapoenda kwenye interview pamoja na showoff nyingine. (haswa wasanii na watu...
Wakuu natumai mu-wazima wa afya,
Natafuta Caterpillar la kuvunja shamba. Shamba lipo mkoa Pwani (km 160 kutoka Dar).
Ningependa kujua gharama ya kukodisha, kusafirisha na kama Kuna gharama zingine
Habari wanajukwaa!
Tunayo furaha kubwa kutangaza kuwa TESE sasa inatengeneza Haidroliki Seals zenye ubora wa kimataifa hapa hapa Tanzania kwa ajili ya mitambo na mashine zako
Kwa nini uchague hydraulic seals za TESE?
🔹 Ubora wa Kimataifa: Seal zetu zinakidhi viwango vya kimataifa na...
Habari ya jioni wakuu. Nawaletea mtambo huu wa ujenzi unauzwa.
Make: Caterpillar Excavator
Model: 320 CL
Masaa: 14600
Location: Morogoro
Bei: 120M
Haina shida yoyote ipo tayari kwa ajili ya kazi muda wowote, ukitaka kukagua basi nicheki
0755963775 calls/WhatsApp
Habari Wakuu,
Nina uhitaji wa Fundi mzuri na mwenye uzoefu anayezijulia Hydraulic based machines hasa upande wa Transmission na Engine kwa Grader, Excavator, Compactor n.k
🙏🏽🙏🏽
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.