This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system.
Now, Iran is going to retaliate back and the impact will be severe.
Will people still have a belief that bible implies words of God or words...
Heshima ssna wanajamvi.
Sasa ni wazi Mch Msigwa ni mmoja wa wale wanasiasa waliolamba fedha za Abdul.
Katika hali ya kustaajabisha Mch Msigwa hakuwahi kubeba Bible takatifu hadharani na kuwaaminisha waumini wakikifuata na kukitii kitabu hicho kitakatifu watakwenda Mbinguni.
Mheshimiwa Abdul...
Kutokana na kanisa Mary alikuwa na miaka kati ya 13 au kuminanne alipomzaa Jesus ,Je Joseph alikuwa na miaka mingapi ? Wakuu wakanisa wanatuambia alikuwa anapindukia miaka 90 ,sa inakuwaje mnamshambulia Mtume wetu Muhammad wakati tofauti ya miaka inagepu la kutisha ?
Habari za uzima wakuu?
leo baada ya kuwepo mapumziko na mama watoto na mwanangu nyumbani ,jioni nikapokea simu ya sister wangu akiniambia nimsindikize airport anasafiri.
Nikamuambia sawa basi nikatoka na wife na mwanangu mpaka kwa sister, nikamkuta ameshajiandaa akamwita wifi yake chumbani...
Makala Iliyopita:
Baada ya kuona kuwa Carbon-14 inathibitisha umri mdogo wa Dunia kwasababu ya:
1) Kupatikana kwa Carbon-14 kwenye mabaki yaliyo kwenye miamba inayodaiwa kuwa na mamilioni ya miaka (Carbon-14 haikupaswa kuwepo).
2) Kupatikana kwa Carbon-14 kwenye makaa ya mawe yanayodaiwa kuwa...
(usomaji wa dakika 14)
Tufanye hesabu!
Kabla hatujaanza, kuna maandiko haya matatu.
1 Wathesalonike 5:21
Pimeni kila kitu: Zingatieni kilicho chema.
Yohana 8:44
Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo. Siku zote alikuwa kinyume na ukweli. Hakuna ukweli ndani yake. Yuko kama uongo anaousema...
Palmoni, The Wonderful Numberer, ni Bwana Yesu Kristo. Pia Bwana Yesu Kristo (ndani ya Utatu Mtakatifu wa Mungu) ni The Wonderful Counsellor, The Wonderful Teacher, The Revealer of Secrets.
Isaiah 9:6 For unto us a child is born, unto us a son is given: and the government shall be upon his...
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.
Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui
Kwa ajili...
Ambitious Marriage Is Within Your Reach
Photo source: Internet.
Marriage a union of complementary parts not competitors
Marriage is one of the misunderstood and stressful things people struggle with than anything else, making it not only an optional but less important.
It’s unfortunate that...
Hii inavutia
Ni nani aliyebuni sheria tatu za msingi za COVID kutulinda?
1 - Kukaa mbali
2 - Usafi wa mikono
3 - Kutumia barakoa
Sheria hizi lilipewa taifa la Israeli miaka 3,500 iliyopita. Ulipata kufahamu? Kwa hiyo itafute katika Biblia!
1 - Kutoka 30: 18-21: 'Osha mikono yako ili usife'...
Nafikiri wengi wenu mnajua mfalme Constantine na kanisa Katoliki hawakuweka almost vitabu 14 wakati wana assemble Biblia, hii imetunyima mengi kujua kuhusu kwa mfano the book of Enoch, the book of Og lile jitu refu kabisa.
Cha kusikitisha ni kwamba wakati sisi hizo knowledge hatuna wao kwenye...
Habari za jioni wana JF, ni muda mrefu kidogo sijaweka mada humu ila leo tupate wasaa kidogo tukumbushane mambo machache kuhusu Bible.
NB: Angalizo hii mada ni purely objective tusiiweke kidini na kuanza kashfa, matusi na kejeli kwa imani fulani. Natamani iwe hoja juu ya hoja ili wote...
Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili
1)Forex Bible
2)Candlestick Bible
Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge.
Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi.
NB: Sihitaji...
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.